Zitto ni tatizoYaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni tatizoYaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
Kwa hiyo kwa sasa hatuwezi kula za uso kwa sababu zimezuiwa!Una uhakika gani zingetumika kwa malengo kusudiwa?
Ngoja zikanunulie mabomu ya machozi mle za uso uchaguzi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujanikwaza kwa sababu nimegundua hujanielewa au hutanielewa kwa vile unatumia moyo kufikiria mambo badala ya ubongo.Unachoandika wala hakieleweki kwa sababu unapinga hoja zangu lakini maelezo yako unakubali hoja zangu.
Lazima uelewe kuwa kujibu hoja siyo muhimu kama hujui mantiki ya kile unachokijibu otherwise utakuwa unajaza saver tu za Jamiiforums with garbage and hocus pocus!
Samahani kama nitakukwaza!
Kama serikali inahitaji sana huu mkopo basi ikubali masharti kuwa watoto wakipata mimba na kuzaa warudi tena kwenye darasa lenye wanafunzi ambao hawajapata mimba na kuzaa kama ambavyo wanaharakati na baadhi ya wanasiasa kama Zitto wanavyotaka!
Yaani, msichana akijisikia kupata mimba anapata na kuzaa halafu baadaye anarudi tena kwenye darasa lake na kuendelea na masomo pamoja na wanafunzi wengine!
Hili suala sio rahisi kama ambavyo baadhi ya washabiki wa wanasiasa wanavyoshangilia ndio maana CHADEMA wameamua kukaa kimya kwa sababu wanajua ugumu wake kijamii na kiimani ya dini!
Hapo sioni kama ni sawa, hizo pesa zingefanya mambo makubwa kwa nchi yetu, zitto na wenzako mlaaniwe
Sent using Jamii Forums mobile app
nawza pata wapi majina ya hawa wanafunzi wanyonyeshao na wajawazito? mie katika shule yangu nimeamua kutenga darasa maalumu la wanaonyonyesha na wajawazito, nitawawekea na chekechea kwa ajili ya watoto wao, nataka nione hawa wabinti wataendeleajeUjue mambo mengine ya kijinga sana.
Mimi sioni sababu ya kuwakataza kurudi shule. Maana mimba inakaa miezi tisa alafu anajifungua.lakini kumkataza asirudi shule ina maanisha unamnyima haki yake ya kupata elimu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote nakuona kama mtu mwenye utulivu, akili na busara na leo tena hujaniangusha. AhsanteImegoma ai imechelewesha (delays) upigaji kura?
Ndiyo maana Mkapa huwa anawapakia nyie makanjanja.
Mkisema ukweli itakuwa nini?
Kwa sababu ubongo wetu umejaa mchanga wa jangwa la sahara"Mind set" ya mwafrika mweusi, nakusudia Waafrika tunaoishi chini ya Jangwa la Sahara ni ya ovyo kabisa..
Mkuu haki ya elimu haiwezi kufutwa kwa kushika mimba.Kushika Mimba hakumfanyi mtoto apoteze haki ya kupata elimu.Naamini kabisa kwamba sio tatizo iwapo mtoto huyu ataruhusiwa kusoma baada ya kuzaa.Jambo la muhimu ni kutoa elimu ya kutosha juu ya uzazi wa mpango,ngono na afya salama.Pili ni kuweka utaratibu wa namna ambayo watoto hawa wataweza kuendelea na masomo ikiwamo kwa mfumo wa aina tofauti ya elimu kama vile mfumo wa elimu ya watu wazima(QT) .Jambo la muhimu ni kuhakii=kisha kwamba mabinti zetu wanapata elimu come rain or sunshineMtoto akipewa mimba kuwepo na special schools za wazazi ambazo ni private kama walivyofanya juvenile courts. Wasichanganyikane na wenzao ambao ni fresh.
Na kitendo cha mtoto kupata mimba kinafutia validity ya kuitwa mtoto. Ngumu ku exercise haki za mtoto maana keshakuwa mzazi. Apambane na hali yake maana alipovua chupi alijua kabisa kuwa madhara yake atavimba juu.Tusiendekeze ujinga.
Ataipata fresh ya shamba October 2020 kule kigoma mjiniHapo sioni kama ni sawa, hizo pesa zingefanya mambo makubwa kwa nchi yetu, zitto na wenzako mlaaniwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa WB, ni kawaida yao na tumeisha wazoea, ni wanabana tuu kama kawaida yao, watabana, watabana, watabana, mwisho wataachia.
P