NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
PUMBAVU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Truth must told, huu ndio ukweli halisi Tanzania inafanya vizuri sana achilia mbali na washenzi wezi wanaohujumu taifa hili, wezi kila mahali huwa hawakosekani, tuwadhibiti kwa vitendo ili taifa letu liwe mfano bora zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rais Samia akisimamia uchumi kwa umahiri[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2584543
Ndio wanaingaalia jinsi tunavyokopa mabilion ya dolla na kuja kuzitawanya huko nchini kwa kujenga vituo vya mafuta , kununua vx na baadae zinarudi tena kwao ."Maendeleo ni ya watu na sio vitu!!" Hao world Bank wanaangaliaa ukuaji wa uchumi[ GDP growth rate] na kubainisha kuwa Taifa linafanya vizuri ili hali hawaangalii jinsi ya huo ukuaji unavyowanufaisha wananchi wake[ Distribution of national cake}!!
Maisha ya Watanzania waliowengi ni magumu sana Wakati huu wa mfumuko wa bei na uhaba wa ajira hivyo kuwasifia hawa walioko madarakani ni kuwahadaa wananchi!!