Kilichotokea ni kubadili devision 0 kua devision 5 nothin more.Kuwa huko muda mrefu ni jambo jingine na kukutwa huko nalo ni jambo jingine, Je kwa mujibu wa andiko hili vigezo vilivyobadilishwa vimewafanya hao waliokuwa huko kupanda au?
Kwani kuna aliyesema ni mwingine ndie kafunga goli?! Hoja hapa ni uthibitisho kwamba Magu ameharibu uchumi! How come 4 budgets awe amepandisha GNI per capita for less than $100Haijalishi aliyefunga goli ndio huonekana shujaa machoni pa watu
Mkuu una haki ya kusoma kama ilivyo sababu ndio reasoning yako ilivyo. Nakumbuka kuna uzi uliletwa hapa marekani ina madeni 130% ya pato lake watu wakatoka mapovu weee kuwa kumbe wazungu hamna kitu mpka wakope mara cjui madeni ni makubwa kuliko Tanzania.Soma kama kilivyo piga maisha...
Ukichambua takwimu na ukafananisha na Kenya, Malawi na Singapole ndio unaonekana una akili?
Nyambaff imekuja kama ilivyo... haimaanishi ni matajiri ila we have the right to celebrate hiki kwa muda huu...
Hupendi katafute kamba na mti ... u know what to do next[emoji3][emoji3][emoji3]
Theat's the only way Team Magu can "argue"! Kama nilivyowahi kusema hapo kabla, ningekuwa JPM ningejisikia aibu sana kuwa na wafuasi aina ya wafuasi alionao!!!!Who has to care abt Kenya?
Get a rest ... tunashangilia kilichopo..
U know what? WB wamekanusha hiyo barua..
I hope you will soon get better[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna aliyepinga hata Lesotho ipo piaKenya na yenyewe ipo msisahau
Utetezi mwingine wa ajabu kweli, kwahiyo kama hii haiwezi kuwa habari ya kimaifa kwamba wao wanapima habari zao ila habari ya mtu mlevi kuporomoka kwenye ngazi kisha kuteguka mguu hiyo ndio habari yenye hadhi ya kimaifa.
Mkuu una haki ya kusoma kama ilivyo sababu ndio reasoning yako ilivyo. Nakumbuka kuna uzi uliletwa hapa marekani ina madeni 130% ya pato lake watu wakatoka mapovu weee kuwa kumbe wazungu hamna kitu mpka wakope mara cjui madeni ni makubwa kuliko Tanzania.
Kupitia ule uzi ndio nikaelewa nchi yetu ina watu wa aina gani, yaani wakiona kichwa cha habari tu wanaunga tela bila kusoma taarifa.
Nimeweka hapa uchambuzi wa uchumi wa zimbabwe wa hao world bank afu ushangae kivipi imewekwa uchumi wa kati!! Kma hutaelewa hapa basi endelea kupiga makofi
Overview
Theat's the only way Team Magu can "argue"! Kama nilivyowahi kusema hapo kabla, ningekuwa JPM ningejisikia aibu sana kuwa na wafuasi aina ya wafuasi alionao!!!!
Anyway, stay blessed manane napenda kujadili hoja, unfortunately tangu uanze umeshindwa kabisa kuleta hoja!!!
Shida yenu huwa mnajiandaa kupinga tuuu utafikiria ninyi ni wakimbizi kwenye nchi hiiKwani kuna aliyesema ni mwingine ndie kafunga goli?! Hoja hapa ni uthibitisho kwamba Magu ameharibu uchumi! How come 4 budgets awe amepandisha GNI per capita for less than $100
Google maana ya utopolo.
Mimi mtanzania by accident tu nchi gani ina viongozi wapuuzi na inaendeshwa kipuuzi.
.
Ukikosoa kosa yani ahsksmamabsks
I mean no disrepect lakini kama nilivyosema hapo awali, najadili hoja! Hoja ingekuwa ni kupinga kwa hoja nilichoandika!!Shida yenu huwa mnajiandaa kupinga tuuu utafikiria ninyi ni wakimbizi kwenye nchi hii
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali. Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuongoza vyema Tanzania kupeleka uchumi wakati
Sisi ni matajiri
Nimekuelewa mkuu; kwa hiyo kwa miaka hii mitano tumeongeza 56 usd per person per year, Anyway its not great but its good kwa kuwa hatukurudi nyumaNarudia hoja ile ile Team Piga Makofi inayowakera!!!
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.
Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'
Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1495147
Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.
Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1495148
Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!
On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
View attachment 1495149
Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi!
Na hapana shaka hata kidogo kwamba, mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average
Wewe ndio uhuze uo ubongo wako, maana kama unabishana na wataharamu, beki ya dunia wametoa data zao kuwa Tanzania imeingia ktk kipato cha kati, wewe unakomalia madeni Ujui kuwa hata America taifa kubwa wanadaiwa deni kubwa,. Narudia tena ukiona unakopesheka jua anayekukopesha ameona unaouweza wa kulipa, kama unanibishia kuwa una kitu nenda Kwa jirani yako mwambie nikope uone jibu lake.Kama tuna uwezo wa kulipa, hilo deni la taifa mbona linazidi kupaa? Inakuwaje tunaomba kusamehewa madeni badala ya kudhibisha uwezo wetu wa kulipa? Mkuu uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
Pushapu alikuwa anawapigia waazembe kuwa atakula sahani moja nao hawawezi kuihujumu Nchi kiasi hiki
Hakika Hii ni Thread nyingine nzuri sana Mkuu,ipaishe umeongea uhalisia hakika asiyeelewa ana utindio wa UbongoYaani sielewi hapa kosa au shida iko wapi kwa Jpm kujipongeza. Hivi kosa liko kwa Jpm kusema takwimu walizotoa WB kuhusu uchumi wa Tanzania au kosa ni WB wamedanganya? Kama kosa ziko kwenye takwimu kwa nini tusiwajadili WB kwa kupotosha ukweli na tukatoa Statistical analysis za kiuchumi za kwetu zinazoonyesha uhalisia?
Hapa zinaletwa takwimu, watu wanagoogle huko na kuzileta humu, kwani wasilaumiwe waliotoa takwimu hizi? Na ni lini Tanzania imewahi kuandikwa kama Lower-middle income kabla ya mwaka huu? Kuna ushahidi wowote hizo takwimu kuwahi kuwepo zaidi ya mwaka huu? Nafikiri hapa shida ni hesabu tu watu kuamua kupinga kila kitu. Kama kuna mtu anakumbuka maswali ya LOWER REAL LIMIT na UPPER REAL LIMIT yanapatikana wapi ataelewa nini kinachozungumzwa.
Hivi mtu akisema A itaanzia 75_100 kwa hiyo aliyepata 75-80 hatahesabiwa kama amepata A ila wa 90-100 ? Mbona vitu vidogo tunataka kuvifanya vionekane ni mjadala mkubwa?
Kwa mujibu wa WB ya dunia ili uwe kwenye uchumi wa kati ni lazima watu wa nchi husika waishi kwa angalau 2000-4000 kwa siku. Pia kundi lingine linaloanzia angalau 4000-9000 kwa siku. Hivyo range ya nchi ya uchumi wa kati ni angalau (2000-4000)chini- (4000-9000)juu.
Ninachojua ni kweli tanzania iko uchumi wa kati. Labda niambiwe World Bank wametoa takwimu za uongo na hawa ndio inabidi tuwajadili uongo wao. Lakini kama Word Bank wako sahihi na hii ni taarifa yao basi JPM yuko sahihi na ana haki ya kujipongeza. Hakuna ubaya wa kujipongeza kwa kila hatua nzuri unayoifikia haijalishi ina ukubwa gani.