kha! kumbe ni mradi wa watu wa mijini?maskini sijui babu na bibi yangu kule kijijini sijui watakumbukwa lini?Msukumo mwingine wa kuidhinisha mabilioni hayo,
Taarifa hiyo, inaeleza kwamba benki ya dunia, iliidhinisha fedha hizo, kwa sababu wakazi wengi katika maeneo ya mijini, wanakabiliwa na matatizo ya makazi.
Inaeleza kwamba watu wengi wana matatizo ya makazi kutokana na kasi kubwa ya ongezeko la watu mjini na kusababisha ujenzi wa makazi holela bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ambayo hayajapimwa.
kha! kumbe ni mradi wa watu wa mijini?maskini sijui babu na bibi yangu kule kijijini sijui watakumbukwa lini?
Kha! yaani unategemea wazee wa kijijini wakumbukwe na hii serikali si kichekesho hicho.Hii serikali iko kwa ajili ya faida ya watu wachache ambao ni viongozi ndani ya Chama Tawala na Serikalini.Bila kufanya mabadiliko ya mfumo uliopo hali hii italiangamiza Taifa.
Kuna msemo usemao mwenye macho haambiwi tazama.Hapa tulipofika kama taifa kuna kila chembe chembe ya machafuko kama hali ya sasa haitabadilika.Je tutakimbilia wapi?