Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Chinese may take over Mombasa port: OukoSource?
Hatuwezi kuthibitisha kwa vimaneno vichache hivyo hebu jazia nyama
Chinese may take over Mombasa port: Oukokama umeileta kizushi tuzinguane na manyang'au sawa ila habari haina chanzo zaidi ya mapicha picha. japo ikiwa kweli nitafurahi maana rafiki wetu wa kweli kafanyakweli
Income per capita ya China is lower than any of European nation,..... income per capita inapatikana GDP Γ· national population= income per capita......and that is a clear indication economic status of a particular nation......population ya China 2bnpple Γ·$12trn GDP =Siungi mkono serikali zetu kukopa kwa wachina lakini China si masikini kama usemavyo mkuu.
Watanzania je ndiyo itakuwa zaidinawaonea huruma saana wachina watakuja kujuta saana mda sio mrefu
china ndie atakaeumia hapoWatanzania je ndiyo itakuwa zaidi
Umesema sawa kabisa, tumekuwa na kawaida ya kuwa na miungu wa ccm ambayo ni hatari kabisa. Lengo lao wao ni kujionyesha tu ili wajinga wawapigie kura. Tutauzwa mpk wajukuu wawajukuu zetu.Hata sisi hii mikopo itatuumbua tu
Hii miradi mbali na kuongeza deni la Taifa,ukweli ni kwamba hailipi na zaidi ni mzigo tu kwa hizi serikali zetu.
Hii miradi ingeachiwa private sector au serikali ingekuwa na hisa kidogo lakini sio kumiliki hii miradi kwa asilimia 100.
Niwaambie tu,SGR na ATCL ni mizigo tutakayoibeba kwa kodi zetu.
Tumekuwa mateka wa fahari ya macho na kupuuza uhalisia-mtu mmoja kwa kutumia cheo na madaraka yake kawafanya watu mazuzu wasione mbele.
Watu wanashangilia na kusifu wakati mikataba inafanywa siri na wala hawajiulizi!!
Ujinga umezidi wacha tuvune tunachopanda.Frankly speaking, hawa wachina tusipojiangalia watakuja kujimilikishia nchi zote za Africa mashariki manake zote zina madeni makubwa kutoka Exim China.
Kwanza sgr wanaiendesha wachinaInamaana hyo SGR hailipi mpaka wachukue bandari hawa marafiki wa Raisi wa nyonge?
Inabidi na sisi tuanze kutia maji kichwani maana wakitoka huko ni bongo na kujichukulia ziwa victoriaBenki ya Exim ya China huenda ikaichukua Bandari ya Mombasa, endapo #Kenya itashindwa kurejesha mkopo iliochukua ili kujenga reli ya kisasa (SGR). Kenya ilikopa TZS trilioni 7.2 kwa ajili ya reli hiyo mwaka 2013.
==========Chinese may take over Mombasa port: Ouko
The Daily Nation
SUMMARY
Kenya could lose the port of Mombasa to the Chinese government if Kenya Railways Corporation (KRC) defaults in the payment of Sh227 billion owed to Exim Bank of China.
- The government borrowed the billions to construct the Mombasa-Nairobi standard gauge railway (SGR), against opposition that it could become a white elephant.
- A report by Auditor-General Edward Ouko states that the payment agreement substantively means that the revenue of the Kenya Ports Authority would be used to clear the debt.
- The auditor notes that the agreement is biased since any non-performance or dispute with the bank would be referred to arbitration in China, βwhose fairness is resolving the disagreement may not be guaranteedβ.
- Ouko accuses the KPA management of not disclosing the guarantee documents in its financial statements.
The government borrowed the billions to construct the Mombasa-Nairobi standard gauge railway (SGR), against opposition that the project by China Roads and Bridges Corporation (CRBC), a Chinese State-owned company, could become a white elephant. The country's sovereignty is now at stake.
View attachment 972261
View attachment 972260
Wachukue tu, hakuna namna nyingine.
JAMAA WAMESHACHUKUA UWANJA WA NDEGE ZAMBIA
SAIVI HADI ZAMBIA POLISI NI WAO ππππππ
Lastly tutageuka koloni la China, very bad. Mungu atuepushe,niliwahi kufanya kazi kwenye kampuni ya kichina, najua tabu zao hao jamaa. Sipati picha ikiwa koloni lao tutakavyo pelekeshwa.Ujinga umezidi wacha tuvune tunachopanda.
nawaonea huruma saana wachina watakuja kujuta saana mda sio mrefu
Hata sisi hii mikopo itatuumbua tu
Hii miradi mbali na kuongeza deni la Taifa,ukweli ni kwamba hailipi na zaidi ni mzigo tu kwa hizi serikali zetu.
Hii miradi ingeachiwa private sector au serikali ingekuwa na hisa kidogo lakini sio kumiliki hii miradi kwa asilimia 100.
Niwaambie tu,SGR na ATCL ni mizigo tutakayoibeba kwa kodi zetu.
Tumekuwa mateka wa fahari ya macho na kupuuza uhalisia-mtu mmoja kwa kutumia cheo na madaraka yake kawafanya watu mazuzu wasione mbele.
Watu wanashangilia na kusifu wakati mikataba inafanywa siri na wala hawajiulizi!!
halafu kuna jamaa anatuambia kwamba China ni marafiki wazuri....
hivi gesi ipo salama kweli ??????ππ
Sio umasikini tu, wengine huko ziwa Victoria ndiyo yalipo makazi yetu kwenye hivyo visiwa vya ukerewe,nansio N.kSasa wakitunyang'anya ziwa letu victoria si ndiyo wavuvi wetu watakuwa wametiwa umasikini?
Hahahahahah nouma SanaYaani mikataba 17 iliyoandikwa kichina ilisainiwa kwa nusu saa