Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Potelea mbali,ni nafuu. Umasikini wa kesho ni afadhali kuliko wa leo. Pia ujue, shida hazitokei mwisho wa mwezi tuu!Hii k2 ni nzur lkn itawafanya wengi kutumbukia zaidi kwenye umasikini!
Mkuu, umeshavuta tuonane? Leo wk e.nd.Ina pendeza
Kuvuka kwako nje ya Afrika,haiwezi kuwa sababu ya wewe kuwa unajua zaidi.Mazingira yetu hapa ni tofauti sana.Nimegunduwa kuwa akili zako unazikalia. Lujiendesha kwa taasisi ya fedha lazima itumie njia zenye ethic sio kuchukuwa advantage? Mbona hao wanowakopesha Milioni 100 hawawachaji 6%x idadi ya miezi wanayorudisha hela? Kwa nini umchaji mteja wako 6% wakati ungeweza kumpatia overdraft ya interest free kwa wiki 2 au mwezi mmoja! Inaonesha hujawahi kuvuka mpaka wa bara la Afrika wewe!
One months interest free overdraft ndio haitekelezeki? Wewe kaa tu Ugogoni uhangaike kutafuta maji ya kutawaza lemutuz!Kuvuka kwako nje ya Afrika,haiwezi kuwa sababu ya wewe kuwa unajua zaidi.Mazingira yetu hapa ni tofauti sana.
Benki hiyo hiyo,inayotoa mkopo wa milioni 7 na unakatwa jumla ya milioni 12,Hujailalamikia namna hii japo ilianza zamani!Zipo taasisi kama bayport unachukua 1.5M unakatwa jumla 4.5M!..hujawahi kuwalalamikia,Leo unakuja kulia na 6% ya salary advance kweli?Mbona unaonekana kama mchawi una wawangia watumishi wasipewe hiyo?
Mtaani kuna wafanyabiashara wanakopesha kwa riba ya 30% na bado watumishi wanachukua na wakati mwingine wanashindwa kuzilipa na wanalipa ile riba ili aendelee kujikopesha na kulipa riba mbili hadi 3!Ni ajabu sana wewe uliyetoka eti nje ya Afrika unakuja kuzungumzia vitu vya ndotoni visivyotekelezeka na unaamini kuwa ni halisi!!!
Iko poa tuHuduma nasiki inazingua nimekuta watumishi wanalalamik Kuwa hamna kitu wanajaribu na kujaribu
Kibao nawafahamu,ikizingua rudia tenaNani aliyefanikiwa kuitumia huduma hii wakuu?
Leo tarehe 8, tayari watu wanabeep salary advance? Duu!!Kibao nawafahamu,ikizingua rudia tena
Kwan unalazimishwa kukopa au ndo shida zetu zinatufanya TuendeNani anakudanya mbona iko wazi bank wanataka kukulamba 6% ya mshahara wako ni 950,000 watakulamba kama 57,500 hivi So Mwisho wa mwezi utakua una deduction ya 6% katika salary njia nzuri ya kutatua matatizo yako ni kua na utamaduni wa Ku save mwenyewe na siyo kukopa
Ndo greese hiyo mkuuLeo tarehe 8, tayari watu wanabeep salary advance? Duu!!
Hahahahaha, umenifurahisha sana. Kweli kabisa hiyo ndio grease yenyewe!Ndo greese hiyo mkuu