Benki za Tanzania zagoma kuweka Vyoo kwa Wateja

Good observation na naunga mkono hoja.

Pia Nemc wako wapi?
 
Kwani lazima vya kukaa?
 
Umeangalia hotuba ya Samia leo Nchini kwake Zanzibar akiapisha wateuliwa?
Angalia kwenye you-tube pale alipomzungumzia Mchen

Mameneja wa Benki wanapitia huu uzi, wataweka vyoo vya kukaaa na kuchuchuma, vya kutumia tissues na vya free styles.
Mimi huwa naenjoy sana kunya kwenye choo cha shimo tofauti na hapo bora nikajisaidie porini!
Ndio maana hata hapa ninapoishi siendagi chooni nakunyaga kwenye mifuko au kwenye kisado nasubiri usiku naenda kumwaga jalalani
 
Bank zote zimepanga kwny majengo ambayo tayr yana vyoo ukibanwa mavi au mkojo achia mtu nafasi kwny folen toka eneo la bank uliza mlinzi utaoneshwa choo...

Binafsi nikiwa town silipii choo mighorofa yote iliyojaa mjin ina vyoo kila floor....
Mimi huwa naingia kwenye bar
 
Yaani Tz bnana kwa kujifanya ni ya kipekee duniani kumbe ni ya kijinga tu,hiyo security reason ni Tz tu?mbona sehemu nyingine vipo?acheni sababu za kijinga
Kuna bank ya posta pamba road mwanza kuna askari waoga pale sijawahi ona,ukisimama tu kwenye ngazi za hapo bank jamaa anakufata fasta,hata ukimwambia kuna mtu unamsubir anakuambia ukamsubir mbali na hapo bank
 
Mimi huwa naenjoy sana kunya kwenye choo cha shimo tofauti na hapo bora nikajisaidie porini!
Ndio maana hata hapa ninapoishi siendagi chooni nakunyaga kwenye mifuko au kwenye kisado nasubiri usiku naenda kumwaga jalalani
Unaonaje kama unapoishi ukawashauri watengeneze vyoo upendavyo?
Unasubiri mpaka US AID waje kukujengeeni?
 
Bwana yule angekuambia "Kwani unaenda benki kwenda kunya? Kama vipi yaache mavi yako nyumbani"

Bwana yule alikuwa fedhuli sana...
 
Kwani bongo ni kisiwa?

Yaani Duniani kote majiji yote kuwepo na huduma za vyoo kwenye banks isipokuwa bongo Eti sababu ya usalama na blah blah za ajabu?!

Halafu wenye akili finyu wanaona ni sawa ?!
 
Kwani bongo ni kisiwa?

Yaani Duniani kote majiji yote kuwepo na huduma za vyoo kwenye banks isipokuwa bongo Eti sababu ya usalama na blah blah za ajabu?!

Halafu wenye akili finyu wanaona ni sawa ?!
Poor Tanzania!
Bora umeona hilo, i wonder Wateja wa Mabenk kwenye uzi wamezoea kudhulumiwa haki yao basi wanaona ni sawa, ni kama kumwekea mtu dhamana polisi ni bure ila wamezoeshwa KITU KIDOGO imekuwa kama sheria .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…