Benki zimelala watu wanapiga pesa

Logically mtu anae kopa m1 sio rahisi ya kupataa 20 m
 
maana ni kua akikupa mkononi..amini amini nawaambia hutafanya biashara na ukapata faida..kama ni zamana inakwennda au hela inaongezeka...wasenge sana hao..wanaroga hela sio poa
 
usiwe kama kiwavi, anaedhani dunia ni lile jani alilopo kumbe kwenye mti huohuo kuna majani maelfu kwa maelfu, na miti ya jirani nayo ina majani maelfu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…