Benki ziongeze kiwango cha kutoa pesa ATM, 400K at once haitoshi

Benki ziongeze kiwango cha kutoa pesa ATM, 400K at once haitoshi

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4.

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4. Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi.
 
ATM màchine nyingi zinazokuja Bongo zina uwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja.. zipo hivyo by default kutokana na ukubwa wa mdomo wa ATM na it is for security purposes also.

So kama ATM màchine ipo loaded na pesa zenye denomination ya elfu 10,000 so noti arobaini itakua ni laki 4 kwa wakati mmoja ndizo zitakazo kua dispensed kwenye cash dispenser ya ATM machine na kama zipo denomination ya 5000, note 40 zitakuwa ni 200k at once kuwa dispensed na ATM machine at once.

Sasa kama kuna ATM machine zitakuja na mdomo kubwa unaoweza ku hold pesa mingi at once it will be well and good kwakua technology ina ruhusu.. japo hata ikitokea haitaruhu mtu kutoa kiwango cha zaidi ya limit iliyowekwa ya 1m to 1.5m per day kupitia ATM machine.

Hii no kutoka na risks za wizi wa pesa za watu kupitia machine za ATM, lakini pia control issues za money laundering na terrorism financing..
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utowaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
Ndio maana tunahitaji hayo mazero yote futilia mbali tubakiwe na noti ya shs. 100 tu kama walivyofanya Zambia,means kwa 400k hapo ungetoa 4k tu
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
ni 600k kwenye baadhi ya machine za kisasa.
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
Naunga mkono hoja, limit ya 400000 haitoshi au ni mtindo wa kukusanya tozo kila unapotoa pesa?. Nikitaka 800000 nitoe mara mbili mpate tozo??. Ongezeni kiwango tafadhari
 
ATM màchine nyingi zinazokuja Bongo zina uwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja.. zipo hivyo by default kutokana na ukubwa wa mdomo wa ATM na it is for security purposes also.

So kama ATM màchine ipo loaded na pesa zenye denomination ya elfu 10,000 so noti arobaini itakua ni laki 4 kwa wakati mmoja ndizo zitakazo kua dispensed kwenye cash dispenser ya ATM machine na kama zipo denomination ya 5000, note 40 zitakuwa ni 200k at once kuwa dispensed na ATM machine at once.

Sasa kama kuna ATM machine zitakuja na mdomo kubwa unaoweza ku hold pesa mingi at once it will be well and good kwakua technology ina ruhusu.. japo hata ikitokea haitaruhu mtu kutoa kiwango cha zaidi ya limit iliyowekwa ya 1m to 1.5m per day kupitia ATM machine.

Hii no kutoka na risks za wizi wa pesa za watu kupitia machine za ATM, lakini pia control issues za money laundering na terrorism financing..
Hili ndio jibu lililokamilika
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
me kila ninapotoa napata option ya 600k ..
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
Shida unafungua akaunti kwenye benki za vichochoroni. Benki kubwa zina hiyo huduma
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
Ni sahihi mkuu afu unarudia rudia na gharama zinaongezeka,huu ni wizi.
 
Nafikiri inategemea na ATM.
CRDB Mlimani City nilishangaa nilitoa 600,000 kwa wakati mmoja.
Sehemu zingine zinatoka 400,000.
Na kuna sehemu nilitoa 300,000 siikumbuki sehemu ipi ila nilishangaa tu.

ATM baadhi hasa za CRDB zinatoa hadi 600,000/- na zingine hazitoi zaidi ya 200,000/- kwa mara moja.

Hii inawapa faida wao wanakukata ile tozo.

Wengi walikimbilua miamala ya simu tatizo huko nako gharama zimekua lukuki.
 
Wakuu,

Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4

Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4

Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?

CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi
Kuna atm zinatoa mpka 600000 dodoma ni nyingi
 
Back
Top Bottom