Za 200000 ni zile wanazozijaza noti za 5000 wanakera sanaATM baadhi hasa za CRDB zinatoa hadi 600,000/- na zingine hazitoi zaidi ya 200,000/- kwa mara moja.
Hii inawapa faida wao wanakukata ile tozo.
Wengi walikimbilua miamala ya simu tatizo huko nako gharama zimekua lukuki.
Za 200000 ni zile wanazozijaza noti za 5000 wanakera sana
Mkuu CRDB Unatoa Mimi nilitoa Milioni Mbili kwa wakati Mmoja Nilitoa 600.000 then 600.000 then 600.000 then 200.000 inawezekana Mbona.Wakuu,
Sijajua sababu ni nini hasa iliyopelekea benki nyingi hapa nchini kuweka limit katika utoaji wa pesa kupitia ATM mashine kwamba mkupuo mmoja uishie laki 4.
Hii naona ni usumbufu kwa wale watoaji wa pesa zaidi ya laki 4. Kuna shida gani kiwango kikiongezwa?
CRDB, NMB, NBC na bank zingine zote, sasa mtubadilishie iko kiwango kwani ni kero lakini pia mnatupiga kwenye makato mara mbili zaidi.
Mkuu inavyoonekana hujawahi ibiwa pesa.Japo sijasoma ulichoandika... Huu ushuzi wa mtumishi was Benki mods futeni...kuwa mfanyakazi wa Benki isiwe sababu ya kupenda Dhulma...Mungu atawachoma Moto wezi nyie mnaolindwa na dola...ndio Mana nimeamua kuzichimbia ndani pesa zangu...
ATM màchine nyingi zinazokuja Bongo zina uwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja.. zipo hivyo by default kutokana na ukubwa wa mdomo wa ATM na it is for security purposes also.
So kama ATM màchine ipo loaded na pesa zenye denomination ya elfu 10,000 so noti arobaini itakua ni laki 4 kwa wakati mmoja ndizo zitakazo kua dispensed kwenye cash dispenser ya ATM machine na kama zipo denomination ya 5000, note 40 zitakuwa ni 200k at once kuwa dispensed na ATM machine at once.
Sasa kama kuna ATM machine zitakuja na mdomo kubwa unaoweza ku hold pesa mingi at once it will be well and good kwakua technology ina ruhusu.. japo hata ikitokea haitaruhu mtu kutoa kiwango cha zaidi ya limit iliyowekwa ya 1m to 1.5m per day kupitia ATM machine.
Hii no kutoka na risks za wizi wa pesa za watu kupitia machine za ATM, lakini pia control issues za money laundering na terrori
Boss hapo hakuna cha wizi, risk wala terrorism finance. Ni kwamba watapata faida kutoa more than once time, mkumbuke hata bank zinaibiwa na hata ukitolea ndani then kwenye safari zako ndo hauwezi kuibiwa?. Ifikie mahali waache janja janja tu coz the people of now days are educated.ATM màchine nyingi zinazokuja Bongo zina uwezo wa kutoa noti 40 kwa wakati mmoja.. zipo hivyo by default kutokana na ukubwa wa mdomo wa ATM na it is for security purposes also.
So kama ATM màchine ipo loaded na pesa zenye denomination ya elfu 10,000 so noti arobaini itakua ni laki 4 kwa wakati mmoja ndizo zitakazo kua dispensed kwenye cash dispenser ya ATM machine na kama zipo denomination ya 5000, note 40 zitakuwa ni 200k at once kuwa dispensed na ATM machine at once.
Sasa kama kuna ATM machine zitakuja na mdomo kubwa unaoweza ku hold pesa mingi at once it will be well and good kwakua technology ina ruhusu.. japo hata ikitokea haitaruhu mtu kutoa kiwango cha zaidi ya limit iliyowekwa ya 1m to 1.5m per day kupitia ATM machine.
Hii no kutoka na risks za wizi wa pesa za watu kupitia machine za ATM, lakini pia control issues za money laundering na terrorism financing..