Beno David Kakolanya Tanzania one

yaani yanga walikuwa tayari wamepoteza almasi mchangani, maamuzi ya kumwacha yalikuwa yamefanyika na yeye alikuwa anasubiri chake tuu ili atimkie JKT Ruvu aliokuwa amemalizana nao, ni busara ya kiongozi mmoja ndiyo leo hii inatuokoa, wee unafikiri kwenye mechi ya mnyama kindoki angetufungisha bao ngapi kama si 7!
 
Sio kindoki tu,hata dida ambaye wachumia tumbo waliokua hawamtaki beno walitaka kumrudisha dida,bahati nzuri kwetu mikia wakamuwekea dau kubwa na mchaga anavyopenda pesa akaona aende mkiani,hiyo ikawa nzuri sana kwa timu ya wananchi
 
Timu mbovu hlf mwezi mmoja na nusu katika michezo yake inashinda huku ikiwa haijaruhusu goli,yan mwezi okt hata ukigoogle dunia nzima ni Yanga peke yake timu ambayo haijaruhusu goli mkuu [emoji2],hii rekodi hamna timu itakayokuja kuivunja
 
U have problem.......... yani timu mbovu kiasi hiko alafu inaongoza ligi ..think twice ...kila timu inaudhaifu wake ....Hata barca real Madrid.....je ni sehemu ipi ambayo imekua dhaifu ndo inabidi upatarget lakin kutuambia timu nzima mbovu hizo ni hisia za ushabiki unaleta.......impossible
 
sio kwamba hatuna wafungaji wazuri ndio maana anaonekana bora?
 
Hata arsenal,african lyon,augusburg ligi ikianza tu huwa wanaongoza ligi ila christmas hawatoboi hahahaha so kukaa juu tu hata ambaluti anaweza kukalia usukani pale juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…