Beno Kakolanya ampa makavu mchambuzi uchwara David Felician

Beno Kakolanya ampa makavu mchambuzi uchwara David Felician

Kwahiyo akiwa anapata nafasi ya kucheza atacheza maisha yake yote? Wewe unajua Beno ana mipango gani maishani mwake?

Swali jingine:Wewe ukikaa benchi kwa miaka 3 ila mkwanja unaoupata unamzidi mbali mchezaji anayecheza daily kwenye timu X kwa miaka yote mitatu, utaomba uende kwenye hiyo timu X? hayo mambo waliyafanyaga wachezaji wa kizamani ambao walikuwa hawajui hesabu.
Ukitaka kujua ulichoandika pumba nenda kamuweke ronaldo nje mechi 5 kama hajataka hata kuukatisha mkataba ili aende timu nyingine akacheze hata kama mshahara utakua mdogo
 
Beno anaokekana ana stress kasha yakanyaga hizo hasira zina tafsiri kitu flani anapitia.
 
Huyu dogo me namjua kitambo kabla hata hajaanza kufanya kazi na Shaffih Dauda.

Ni shabiki wa Yanga na demu wake anaitwa Ela kadem flani kahaya nacho kashabiki ka yanga.
Beno alikuwa hana hata haja ya kumjibu Davi ni dada tu.

Sheria za JF zingekuwa zinaruhusu naweka picha ya kadem chake hapa mcheke sanaa
You're so stupid
 
Ukiwa hupati namba ktk mechi muhimu na zisizo za umuhim kama Mchezaj ndo matokeo yake upo mtandaon Unasoma na kujibu comment
 
Kupangwa nani akae golini hayo ni maamuzi ya kocha.
Kikubwa MSHAHARA WAKE UNAINGIA.
mnataka agome au afanye nini?
Jina ulilojipa katika avatar linaakisi ulivyo na hakuna mtu hapa duniani anaweza kukusaidia. Usisahau asiyefanya kazi basi na asile, tulielezwa. aidha wakimchoka utampa huo mshahara?
 
Wamchoke kivipi wakati kocha mwenyewe ndo hampangi?
Kama wanaona Hana msaada si wamvunjie mkataba wake aondoke?.
Ila Kama bado yupo huyo ni mchezaji wa Simba na ATAPOKEA MSHAHARA KAMA KAWAIDA
Jina ulilojipa katika avatar linaakisi ulivyo na hakuna mtu hapa duniani anaweza kukusaidia. Usisahau asiyefanya kazi basi na asile, tulielezwa. aidha wakimchoka utampa huo mshahara?
 
Jiulize kwanini Beno alipokuwa yanga alikuwa namba 1 kila mechi anacheza lakini alikuwa ANALALAMIKA.
Lakini leo yupo Simba kipa namba 2 hachezi lakini halalamiki.
Jina ulilojipa katika avatar linaakisi ulivyo na hakuna mtu hapa duniani anaweza kukusaidia. Usisahau asiyefanya kazi basi na asile, tulielezwa. aidha wakimchoka utampa huo mshahara?
 
Huyo Beno mjinga tu.Ipo siku atakumbuka maneno ya huyo mwandishi. Bora kuwa first goalkeeper Yanga kuliko kwenda kuwa third option Simba.
 
Mwandishi kawasilisha anachokiamini, lakini binafsi niliyaona makosa ya wacjezaji 2. Beno na Gadiel. Mchaezaji aloyechemka zaidi ni Gadiel maana hakufikiria kabisa anakokwenda anakwenda kuwa nani? Matokeo yake kaacha nyumba yake kaenda kupanga. Beno ni miongoni mwa vipaji halisi vya kitanzania, Lakini ameua kipaji kwa kukosea kuchagua. Najua wazi na nilimsema kocha aliyekuwepo kwamba anakosa sifa moja kubwa ya kuwa "Mlezi", akamkataa mchezaji kwa kosa la kudai haki yake hata kama hakutumia njia sahihi za kistaarabu. Hata hivyo alichokifanya mchezaji ilikuwa kama kuunga juhudi ushabiki wa Simba na Yanga, akakubali kutumika kama chombo cha siasa za mpira. Hakujali yeye atakuwa nani Simba, akakubali kuwa mke wa pili. Tuwapende wachezaji wetu lakini wanapokosea tuwaambie ukweli. Leo De Gea anaweza kwenda Liverpool kuwa msaidizi wa Allison? Hatuoni wenzetu hata nafasi yake uwanjani inaweza kuwa sehemu ya mkataba wake.
Wewe unaweza fanyakazi mahali ambapo hakuna mshahara, unataka familia yako ile nini?
 
Mwandishi kawasilisha anachokiamini, lakini binafsi niliyaona makosa ya wacjezaji 2. Beno na Gadiel. Mchaezaji aloyechemka zaidi ni Gadiel maana hakufikiria kabisa anakokwenda anakwenda kuwa nani? Matokeo yake kaacha nyumba yake kaenda kupanga. Beno ni miongoni mwa vipaji halisi vya kitanzania, Lakini ameua kipaji kwa kukosea kuchagua. Najua wazi na nilimsema kocha aliyekuwepo kwamba anakosa sifa moja kubwa ya kuwa "Mlezi", akamkataa mchezaji kwa kosa la kudai haki yake hata kama hakutumia njia sahihi za kistaarabu. Hata hivyo alichokifanya mchezaji ilikuwa kama kuunga juhudi ushabiki wa Simba na Yanga, akakubali kutumika kama chombo cha siasa za mpira. Hakujali yeye atakuwa nani Simba, akakubali kuwa mke wa pili. Tuwapende wachezaji wetu lakini wanapokosea tuwaambie ukweli. Leo De Gea anaweza kwenda Liverpool kuwa msaidizi wa Allison? Hatuoni wenzetu hata nafasi yake uwanjani inaweza kuwa sehemu ya mkataba wake.
Haya ndio maoni sasa well done
 
Sababu ipo.
Kuna wachezaji wangapi wapo benchi mbona hawasemi?..
Beno Hana shida pale Simba ndo maana unamuona hachezi lakini halalamiki.
MAANA MSHAHARA WAKE ANAPATA.
Pale yanga alikuwa anacheza lakini mshahara wake alikuwa HAPATI NDO MAANA ALIKUWA ANALALAMIKA.
Beno anachoangalia mwisho wa mwezi mshahara wake uingie.
Kazi ya yeye KUCHEZA au kutokucheza anajua kocha hyo sio kazi ya Beno.
BENO YUKO SAHIHI.
Mbona hawamsemi Ozil anakaa benchi na mshahara unaingia mkubwa lakini hajali
 
...aloyechemka zaidi ni Gadiel maana hakufikiria kabisa anakokwenda anakwenda kuwa nani? Matokeo yake kaacha nyumba yake kaenda kupanga. Beno ni miongoni mwa vipaji halisi vya kitanzania, Lakini ameua kipaji kwa kukosea kuchagua.
Kabla ya kuhitimisha, ni vyema tuweke wazi. Je, mafanikio ya mchezaji ni kucheza mechi za ligi ya Bara au kupata fedha ndefu? Je, wangapi walikuwa kikosi cha kwanza hadi wanastaafu lakini hawakupata fedha anayolipwa Benno au Gadiel? Je, ni wangapi waliopata namba kwenye vikosi vyao na wakaishia hapa hapa nchini? Je, hao wachezaji wanaokaa benchi, hawafurahii maisha?
 
Back
Top Bottom