Mkuu kwan Ommy Dimpoz na yeye ana mambo haya ya Tigopesakhaaa!
jaman huyu dogo Pol hayuko sawa, hata Ommy Dimpoz hajawahi fika stage kama hyo
Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.
Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako waachie kina amba lulu na gigy money.
Usalama utakuwepo wapi na kashafungwa kamba? Wamemfanyia BDSMJicho porii liko salama kweli...
hahahahaMkuu kwan Ommy Dimpoz na yeye ana mambo haya ya Tigopesa
Kuna haja yakuanzisha operation maalumu ya kuokoa jukwaa pendwa hili [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Umeona enh!! Jukwaa limepwaya kiasi kwamba wengine tukajikuta tunarejea kule kule ambako kwa muda mrefu tulishakupa kisogo... siasani!!!
Kapost yeye lakini sio yeye.Kwani si kapost mwenyewe hata
na ni umalaya mkuu mwanamke aonyeahe makalio na dume naloMwanaume kuachia matako ni ushamba ukiopitiliza...
Ametia aibu kweli.Jicho porii liko salama kweli...