Benpol hapa umepotea, huu sio uanaume

Benpol hapa umepotea, huu sio uanaume

6ea9056e498fb68d71197883f0cf731e.jpg


Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.

Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako waachie kina amba lulu na gigy money.

Hilo paji la uso si la Ben Pol, umbile la kichwa si la Ben Pol, midomo ya Ben Pol ni mipana iliyobinuka. Uso wa ben Pol umejaa nyama tofauti na wa huyu. Linganisha macho, pua, midomo, mashavu, kichwa na hii hapa.
upload_2017-5-19_16-29-48.jpeg




Pia Pol amekomaa. Si mlainilaini kama huyo.
upload_2017-5-19_16-33-19.jpeg
 
Dah!! Ndio maana wanalia lia wametumika kipindi cha uchaguzi,kumbe ndio mchezo wao
 
Umeona enh!! Jukwaa limepwaya kiasi kwamba wengine tukajikuta tunarejea kule kule ambako kwa muda mrefu tulishakupa kisogo... siasani!!!
Kuna haja yakuanzisha operation maalumu ya kuokoa jukwaa pendwa hili [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Skuizi hakuna ubuyu, hakuna dai vs kiba...... Etc
 
Ndio huyu aliyesema hawezi kuvaa hereni maana ni kinyume na dini yake sasa alichofanya ndio haswaa dini inataka, STUPID
 
Huku wanawake wakikaa uchi papuchii hamtaki Haya mwanaume matako vepeeee
 
tigo nje nje duh tena kafungwa kamba kabisa kana kwamba ye ni kuku mgeni anayesubiri kuchinjwa.
 
Hawa vijana wanaopenda USTAA, WENGI WAO " MIPUNGA'':sasa kwa alichofanya huyo, kuna haya ya kuuliza??? CHAKULA TU!!
 
Back
Top Bottom