Benpol hapa umepotea, huu sio uanaume

Miaka mitano ijayo wanaume watakua hawazidi mia darisalama unaanzaje kuacha jicho wazi hivo daah katika wasanii nilikua nakuona kwa maono ya heshima mnoo leo hii umenichefua dogo kila lakheri matangazo mema ukipata wateja tupe mrejesho[emoji57][emoji57]
 
Mtoto mwenyewe mrembo alaf unaonyesha wo wo wo lako.
 


Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.

Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako waachie kina amba lulu na gigy money.

Lazima ana chembechembe za ushoga au amesha pakatwa
 
ndo mana mim huwa sisikilizi hata nyimbo za kibongo weng wao wanatafuta kiki kwa upuuz ambao walitakiwa wafanye dada zao ndo wanafanya wao dah ka2dhalilisha sana waname
 
Hapo akiambiwa anapakuliwa atakataa kweli? Maana aliempiga hiyo picha ni mmewake? Ahaaaa sory ni mwenzake wanaejuana
 
Jamaa nilikua namuelewa sana nyimbo zake lakini kwa style hii duh kaniboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…