nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,512
WapoMgogo gani mjinga namna hii?
Litakuwa lishasuuzwa hilo[emoji23][emoji23][emoji23]Jicho porii liko salama kweli...
...hili swali ulikuwa unatutegea,ama?Hiyo picha ina tatizo gani ndugu zangu?
Its just a pic...hili swali ulikuwa unatutegea,ama?
.mbona weye waogopa kupakwa wese ati kama hakuna tatizo!
am gudMiss u pia... Niaje
Na mimi nashangaaWakipiga kina ronado sawa na mnasifia
Jicho porii liko salama kweli...
fanya uniwahi kabla wenzako wakakuzid keteDuuh Wanaume wanazidi kupungua.
nmewaza kwa sauti ni nani aliyempaka mafuta mgongoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeehhh bana nilipata likizo bila kupenda....am gud
hasa baada ya kukuona.
ulitumwa India kutibiwa nn?