Tetesi: BenPol kulikoni na mpenzi wake raia wa Kenya?

Tetesi: BenPol kulikoni na mpenzi wake raia wa Kenya?

Na ushamba wako, zile picha ni za mda sana , waliziachia ku cover rumors

Halafu koma kuingilia fani za watu , kama umbea sio fani yako kuna majukwaa mengi upo nyonyo? Sio kila sehem lazima upite, pengine utapat presha zisizokuhusu
Huletagi uwongo humu

Huyu itakuwa Ben poo mwenyewee[emoji1][emoji16]

Ila haya majina ' Ben pol, Ben kinyaiya

My junia siwezi muita jina hili abadani
 
Huletagi uwongo humu

Huyu itakuwa Ben poo mwenyewee[emoji1][emoji16]

Ila haya majina ' Ben pol, Ben kinyaiya

My junia siwezi muita jina hili abadani

Nime comfirm wameachana officially, bibie na pEte katupa,ben sasa hvi kapoa kama mlenda, mashauz yote kwisha
 
Nime comfirm wameachana officially, bibie na pEte katupa,ben sasa hvi kapoa kama mlenda, mashauz yote kwisha
Binamu nini ilikua mbaya? Au Ben kachoka na utii bila shurti
Kaka zetu, watoto wetu tafuteni pesa ya kutosha kuendesha maisha yenu ikiwa ni pamoja na mahusiano yenu. Pesa za wanawaketuu kwa mwanaume asiyejiweza zina maumivu tuu
 
Hakuna Mtz aliyeoa Mkenya akadumu naye

Ali Kiba
Diamond
Benpaul
 
Mwamba katuangusha sana kashindwa hata kutuletea Ankoli kutoka +254.

Bernard Paul itakuwa alikuwa usiku anatazama tamthilia na bibie kwenye Maisha Magic badala ya kupiga kazi za kidiplomasia.
 
Hata Kujaza Mimba
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anahimiza Kuzaana Yeye Kaenda Kule Analala Tu [emoji16][emoji23][emoji28][emoji1]

Kama mimba ni rahisi, muulize yule mmakonde!
 
Kuwa makini na tetesi, umbeya, ufisadi na ushengenyaji. Una uhakika na hii story yako? Maana juzi tu tumetoka kuona picha wakiwa wamefunga pingu za maisha. Hata mwezi haujaisha tayari wamemwagana? Hebu kajipange uje upya usije kuwa unajichumia dhambi za uzushi

Unaelewa nini mtu akisema "rumor has it"?
 
Jamaa kazingua aisee....hana tofauti na mtu aliyeangusha wallet yenye pesa za mshahara.
 
Kashindwa piga hata mimba.... Hovyo kabisaa
 
Back
Top Bottom