Benzema anachinja watu na kisu butu

This demonic monster in his highest prime ever!😈😈😈
 
Akipewa Pasi Katika Eneo La Mpinzan Anakimbia Na Mpira Mpaka Karibu Kidogo Na Eneo La Penalty Kisha Anapiga Pasi Kwa Vinicius Jr Mibeki Yote Inamfata Vinicius Kwasababu Wanajua Yeye Ndo Hatari Na Msumbufu Naye Anawazuga Na Vichenga Vyake Vya Kiufundi Apo Mabeki Washamsahau Benzema Af Kwa Haraka Vinicius Anapenyeza Pasi La Upendo Katikati Yao Kisha Mabeki Wanashtukia Kelele Tu Za Mashabiki Uwanjani Wakishangilia Kwa Nguvu Kutahamaki Tayari Mpira Upo Kambani Na Mzee Mzima Benzema Ameshafika Kwenye Kibendera Anashangalia [emoji23]
 
Kibongo bongo huyo Karim Benzema unaweza kumfananisha na mchezaji gani katika utupiaji wa magoli msimu huu?
A.)Meddie Kagere
B.)Chris Mugalu
C.) Fiston Mayele
D.)Reliants Lusajo
E.) George Mpole

Nasubiri majibu.
 
Kibongo bongo huyo Karim Benzema unaweza kumfananisha na mchezaji gani katika utupiaji wa magoli msimu huu?
A.)Meddie Kagere
B.)Chris Mugalu
C.) Fiston Mayele
D.)Reliants Lusajo
E.) George Mpole

Nasubiri majibu.
A) MK 14[emoji818]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…