Benzema anachinja watu na kisu butu

Benzema anachinja watu na kisu butu

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Huyu jamaa Almaaruf hapa Bongo Ustadh ni hatari sana, ni zaidi ya IS, amekua akiwapa watu maumivu sana. Wengine wanasema anatumia Mkongo! Ni hatari kwa vidudu vyote vinavyorika na vinavyotambaa.

Numbisa nawale wenzako mumekata tamaa aisee​

1360439294.jpeg
 
This demonic monster in his highest prime ever!😈😈😈
 
Akipewa Pasi Katika Eneo La Mpinzan Anakimbia Na Mpira Mpaka Karibu Kidogo Na Eneo La Penalty Kisha Anapiga Pasi Kwa Vinicius Jr Mibeki Yote Inamfata Vinicius Kwasababu Wanajua Yeye Ndo Hatari Na Msumbufu Naye Anawazuga Na Vichenga Vyake Vya Kiufundi Apo Mabeki Washamsahau Benzema Af Kwa Haraka Vinicius Anapenyeza Pasi La Upendo Katikati Yao Kisha Mabeki Wanashtukia Kelele Tu Za Mashabiki Uwanjani Wakishangilia Kwa Nguvu Kutahamaki Tayari Mpira Upo Kambani Na Mzee Mzima Benzema Ameshafika Kwenye Kibendera Anashangalia [emoji23]
 
Kibongo bongo huyo Karim Benzema unaweza kumfananisha na mchezaji gani katika utupiaji wa magoli msimu huu?
A.)Meddie Kagere
B.)Chris Mugalu
C.) Fiston Mayele
D.)Reliants Lusajo
E.) George Mpole

Nasubiri majibu.
 
Kibongo bongo huyo Karim Benzema unaweza kumfananisha na mchezaji gani katika utupiaji wa magoli msimu huu?
A.)Meddie Kagere
B.)Chris Mugalu
C.) Fiston Mayele
D.)Reliants Lusajo
E.) George Mpole

Nasubiri majibu.
A) MK 14[emoji818]
 
Back
Top Bottom