Kutoka kwenye jarida hilo
Wanasema kuwa Afrika kutoendelea ni sababu ya viongozi kutokuwa na uwezo mkubwa wa kiakili ilihali wamelalia rasilimali lukuki.
Jarida linasema wapigania uhuru wengi walikuwa ni watu wenye akili kubwa na maono makubwa na nchi zao kuliko viongozi wa sasa ambao wao wameyarudisha nyuma sana mataifa yao.
Wamezungumzia kutamalaki Kwa rushwa miongoni mwa viongozi na kuwafanya wagawe rasilimali za mataifa yao bila uwiano kwenye mikataba.
Lakini pia wamegusia mikopo isio na tija Kwa mataifa ya afrika ambayo waafrika hulazimika kulipa Kwa muda mrefu sana hivo nchi za Afrika kujikuta wanatumia karne nyingi kulipa madeni ambayo riba zake hua ni za kinyonyaji.
Nimetafakari sana hayo mambo waliyoandika nikaona bado tuna safari ndefu sana.
Wanasema kuwa Afrika kutoendelea ni sababu ya viongozi kutokuwa na uwezo mkubwa wa kiakili ilihali wamelalia rasilimali lukuki.
Jarida linasema wapigania uhuru wengi walikuwa ni watu wenye akili kubwa na maono makubwa na nchi zao kuliko viongozi wa sasa ambao wao wameyarudisha nyuma sana mataifa yao.
Wamezungumzia kutamalaki Kwa rushwa miongoni mwa viongozi na kuwafanya wagawe rasilimali za mataifa yao bila uwiano kwenye mikataba.
Lakini pia wamegusia mikopo isio na tija Kwa mataifa ya afrika ambayo waafrika hulazimika kulipa Kwa muda mrefu sana hivo nchi za Afrika kujikuta wanatumia karne nyingi kulipa madeni ambayo riba zake hua ni za kinyonyaji.
Nimetafakari sana hayo mambo waliyoandika nikaona bado tuna safari ndefu sana.