Sasa yale mabilioni nani atayatusua.
RIP Camilius
 
Mafii kwishaaaaa habari yake nilimwambia musiba asiwe na wasiwasi hizi kenge za kifisadi zina muda mchache sana hapa duniani
 
Nimewaza sana kama wewe. Exactly the same.
 
Tuendelee kuvumilia
 
Kibongobongo kesi ishaisha hivyo... hao walimwengu watazungumza na familia watawapa ahadi za hapa na pale na wakiendelea kumsumbua wataliwa vichwa wote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…