"The list I well known by unknown. "
 
Angalia usije ukakufuru! Huijui kesho yako!
 
Shangilia weweeeee wacha kupitwa na mambo matamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Huyu ni miongoni mwa mashujaa wachache katika nchi hii, aliyeweza kuongea ukweli juu ya uvunjifu wa haki za waTanzania uliofanywa na Serikali ya magufuli, huna ubaya mtu mwenye msimamo, tunakuombea
 

Attachments

  • 5345876-e8638572ea5e114c088a90e27355f831.mp4
    2.4 MB
Ivi cororo aka bill gate imerudi aisee Kuna vikohozi flani vimeingia watu wanakohoa balaa halafu vina bana mbavu aisee sasa naanza rasmi kupiga nyungu mixer mitangawizi r .i.p mheshimiwa Bernard membe, musiba deni liko pale pale hujasamehewa.
 
Hata kama Membe kafa, deni liko pale pale. Na msimamizi wa mirathi hataweza kumsamehe Musiba kama ambavyo angefanya Membe mwenyewe.

Hivyo, kifo cha Membe ni kibaya zaidi kwa Musiba hata kama atakuwa "anachekelea" sasa
 
Mungu fundi.
 
Au unafikiri majasusi wenzake wamemzidi mahesabu?
Absolutely ☝️☝️

Ningesikia Edward Lowassa hayupo, nisingeshangaa. Lakini Kwa huyu mwamba, I am shocked bro. So many questions so far..

Labda soma hii 👇👇👇👇hapa chini halafu jaribu kuunganisha dots. Walishatoa taarifa before

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…