Lakini hakuna kukamatwa kama wale washangiliaji wenzenu walivyokamatwa siku ile ya ujulisho!!
Ya ni kweli kaka,Wajinga wengi humu JF wanadhani sheria inaendeshwa au kutekelezwa kwa opinion, haiko hivyo.
Hakuna kifungu chochote, ni sawa ukope bank mkopo halafu watu wa bank wanakuja kuandika Yale maandishi yao nyumba hii inauzwa na bank, wakiondoka wewe unafuta Yale maandishi, sasa hapo unakuwa unamdanganya nani?Mkuu, naomba unitoe kwenye utata, nipe kifungu cha sheria kinachoruhusu ama kukataza utekelezwaji wa hukumu iliyokwishatolewa juu ya ulipwaji wa kile kiasi cha pesa.
Wanachoma kama maponjoro!!Mnazika ama mnasafirisha
Viongozi wa dini ni miungu? Acha kuleta vitisho vya hao matapeli.Viongozi wa dini wakikuomba jambo kubali!
Ni dhahiri Musiba alikuwa/ana uhusiano wa karibu sana na TISS na huenda ndio waliofanya mauaji hayaHivi kuna mtu au Mtanzania yoyote ambaye si mtumishi wao aliyewahi kwenda ku-print documents zake au kupiga photocopies tu ktk stationery au kiwanda cha TISS?
Kama yupo tunaomba ajitokeze ili tupate uzoefu mpya kutoka kwake.
mkuki kwa nguruwe furaha kwa binaamu mchungu em tulieni sindano izame wa kwenu akikata moto inawauma eenh MUSIBA tuko na weweKama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Musiba anaishi kama digidigi? Haya ni maneno ya kujifariji tu.Kizazi kilicholelewa na kutopewa na imani za kishirikina basi kila litokealo watahusisha na ushirikina!
Huyo Musiba angekuwa na ubavu wa kuua mtu kishirikina angeanza kwanza kuroga kesi zake zipotelee hewani.
Tangu JPM atutoke, Musiba amekuwa akiishi kama digidigi... alikuwa anaogopa nini wakati ana uwezo wa kumuondoa yeyote atakeyemsumbua?!
In short, hakuna ajabu yoyote kwa Membe kufariki... the guy is almost 70.
Siku hizi ukiona kifua kinakubana kama ilivyokuwa imemtokea BM last night, hapo unatakiwa kukumbuka COVID-19 is still there... na hivi sasa hata kama tunajisahau, hizi kesi zinaibuka sana.
Hata Mlinzi wa SSH mwaka huu huu alikuwa pale Emilio Mzena Hospital kwa changamoto hizi hizi za kupumua... thanks God, bado ni kijana and strong lakini hadi nyungu, alipiga!!
Guys, msijisahau! COVID-19 is still there! Nilifarijika sana ile juzi kuona maji ya kuosha mikono pale Lupaso!!
Mimi nimefurahi Membe kufariki kama yeye alivyofurahi kwa Mwamba kututoka! Na bado wengine!Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala...
[emoji38] bongo shida Sana.Na wewe jiandae kutwaliwa maana ulishangilia!
Kwanza kachero gani anajifia kizembe namna hiyo?
Mungu ameamua ugomvi!
Mungu fundi.
Msianze kutisha watu,Hakuna kitu kama hicho.Corona yenyewe ilikuwa a hoax.You guys believe every shit around,watawamaliza!Wanasema kirusi cha Covid kilichoboreshwa kimepiga hodi mjini. May be ndicho kimeondoka na jasusi letu bobevu. Sote tuchukue tahadhari na tuliombee jasusi letu lipumzike kwa amani. 🙏🏿
@Dr Maatola PhD, nadhani uelewa wako juu ya status ya huduma za afya kwa TANZANIA ni mdogo sana. Kwa sasa the best hospital ni za serikali tu, yaani huwezi linganisha Muhimbili na Aga Khan wala Kairuki. Pia Maswali yangu yanalenga kujua kwa nini kiongozi wa serikali tena mwandamizi apelekwe kihospitali kidogo kisichokuwa na hadhi badala ya Muhimbili au hiyo Mzena??? Je usalama wake huko inakuwaje? Kwa hiyo maswali yangu yanalenga hasa kwenye huduma za kiusalama kwa kiongozi maana Mzee Membe kalitumikia hili taifa kwa uzalendo wa hali ya juu, sisi kama rais wazalendo ni muhimu tukafahamishwa kwanini kiongozi wetu apelekwe kihospitali cha kawaida???Wabongo MNA shida sana na ndio maana hii nchi hakuna maendeleo.
Hapo Mzena memorial hata maafisa weñyewe wa Tiis si lazima kwenda hapo huwa wanatibiwa sehemu mtu wanapenda.
Kama daktari wa Membe yupo kwa Kairuki wewe ulitaka wampeleke wapi?
Au hujui madaktari bingwa wote wana center zao za kukuhudumia Ki rahisi?
Kwa nini usihoji mbona hakwenda Acha Khan? Aga Khan si ndio best hospitali Tanzania?
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]Ka thread kanatembea kama msafara wa rais...
Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, kufa ni Faida. Wafilipi 1.21View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Hatar snUnajua matamanio hayazidi uhalisia, wewe haya ni matamanio yako Ila ulipaswa Kuna vitu ujiulize kabla ya kutamani hivyo.
Sio rahisi, nimekueleza hapo hapo sio rahisi kihivyo. Bongo mahakama haina nguvu kwa baadhi ya watu. Mahakama Ina nguvu kwako, sio kwa wote ndio maana hata yule jaji wa mahakama kuu huku yake ilichanwa na hakuna kitu alifanya
Kitendo cha musiba kukataa wito wa mahakama, ilitosha kwanza kupewa adhabu ya kifungo. Lakini jiulize amekataa wito wa mahakama, na bado amekataa hukumu ya mahakama. Alafu yono madalali ambao walipewa kazi leseni yao ikazuiwa