TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
1683890966783.png
 
Kwa hiyo musiba anadhani hii ndio njia ya ku set aside exparte judgment?
Mkuu, naomba unitoe kwenye utata, nipe kifungu cha sheria kinachoruhusu ama kukataza utekelezwaji wa hukumu iliyokwishatolewa juu ya ulipwaji wa kile kiasi cha pesa.
 
Mt 6:14-15 SUV
Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
Tuwe watu wa misamaha, hakuna ajuaye kesho. R. I. P
 
Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian Musiba.
Bernard Membe alikuwa na ukaribu mkubwa na Nape Nauye ndiyo maana alipoamua kusitaafu ubunge akamwachia Nape Jimbo la Mtama awe mbunge wao.

Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae.
Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
 
ATAKATA RUFAA, NA MDAI HAYUPO ATATUMIA NGUVU NA RASIMALI KIDGO SANA NA KESI ATASHINDA TUNZA HII COMENT
Musiba hata huko mahakamani hutamuona. Hili wengi hamtaki kujiuliza kwa Nini

Ingekua mtu mwingine wa kawaida leo hii musiba angekua anatumia kifungo kwa kudharau mahakama, maana walimuita mara nyingi akakataa na hakuna kitu wamemfanya
 
Kizazi kilicholelewa na kutopewa na imani za kishirikina basi kila litokealo watahusisha na ushirikina!

Huyo Musiba angekuwa na ubavu wa kuua mtu kishirikina angeanza kwanza kuroga kesi zake zipotelee hewani.

Tangu JPM atutoke, Musiba amekuwa akiishi kama digidigi... alikuwa anaogopa nini wakati ana uwezo wa kumuondoa yeyote atakeyemsumbua?!

In short, hakuna ajabu yoyote kwa Membe kufariki... the guy is almost 70.

Siku hizi ukiona kifua kinakubana kama ilivyokuwa imemtokea BM last night, hapo unatakiwa kukumbuka COVID-19 is still there... na hivi sasa hata kama tunajisahau, hizi kesi zinaibuka sana.

Hata Mlinzi wa SSH mwaka huu huu alikuwa pale Emilio Mzena Hospital kwa changamoto hizi hizi za kupumua... thanks God, bado ni kijana and strong lakini hadi nyungu, alipiga!!

Guys, msijisahau! COVID-19 is still there! Nilifarijika sana ile juzi kuona maji ya kuosha mikono pale Lupaso!!
 
Swali la msingi kabisa kwanini apelekwe Hubert Kairuki wakati alikuwa kiongozi mwandamizi wa serikali??? Je Hubert Kairuki ni nzuri kuliko Muhimbili?? Je na ile hospitali ya viongozi wa serikali kwa nini hawakumpeleka huko???? Je BM kafariki hana imani na serikali???? Haya ni maswali ya msingi sana. Kikubwa watanzania tuwe wamoja, naamini kabisa BM alikuwa mzalendo sana na kaitumikia nchi yetu kwa uzalendo wa hali ya juu, anahitaji heshima tuache dhihaka. Ni kama ilivyo kwa Dkt Magufuli, tusipende kulipiza kisasi, wote sisi ni wafiwa watarajiwa na kifo hakiepukiki.
Wabongo MNA shida sana na ndio maana hii nchi hakuna maendeleo.

Hapo Mzena memorial hata maafisa weñyewe wa Tiis si lazima kwenda hapo huwa wanatibiwa sehemu mtu wanapenda.

Kama daktari wa Membe yupo kwa Kairuki wewe ulitaka wampeleke wapi?

Au hujui madaktari bingwa wote wana center zao za kukuhudumia Ki rahisi?

Kwa nini usihoji mbona hakwenda Acha Khan? Aga Khan si ndio best hospitali Tanzania?
 
Back
Top Bottom