Ina maana hiyo rufaa anakata muda wowote anaotaka yeye?! Uliwahi kusikia wapi?!ATAKATA RUFAA, NA MDAI HAYUPO ATATUMIA NGUVU NA RASIMALI KIDGO SANA NA KESI ATASHINDA TUNZA HII COMENT
Membe ni mwana CCM.mkuki kwa nguruwe furaha kwa binaamu mchungu em tulieni sindano izame wa kwenu akikata moto inawauma eenh MUSIBA tuko na wewe
Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, kufa ni Faida. Wafilipi 1.21
Team Msoga inahusikaje na Member,hebu tupe mtonyo.Team msoga imepigwa na jiwe gizani lazima watajibu hili
Mbna ujataja majina ya chuo alikopita ?Mfahamu walau kwa ufupi Bernard Kamilius Membe, aliyepata kuwa waziri wa mambo ya nje katika awamu ya 4.
Kwa nini aingilie,what is so special in this case.Mungu ataingilia kati
Alikuwa mtu wa chuki sana na hakuwaheshimu viongozi wa dini. ' Membe pita kule'Kumbe alikuwa mseminari aliyegoma kusamehe, au ndio aliacha siasa iyatawale maisha yake..
Duh! Anashindwa kupatikana kivipi? Kwani ulishawahi kusikia kuna order ya kukamatwa kwake hadi useme "anashindwa kupatikana"?Musiba anaishi kama digidigi? Haya ni maneno ya kujifariji tu.
Hivi kwa nguvu na mtandao alionao membe musiba hata akiishi kama digidigi anashindwa kupatikana? Musiba huyu ambae kila leo yupo hapo mwanza akilewa?
Kama unampenda nenda kazikwe naye tuone mahaba yako sasaAchana na membe kabisa😧😧
Huu mstari UMEUA WATU WENGI SANA PALE SHAKAHOLAKwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, kufa ni Faida. Wafilipi 1.21
Acheni kujitia moyo, Membe alikwishastaafu utumishi wa umma so impact ya vifo vyao ni tofauti kabisa. JPM alikua anaogopeka na hakuna aliyeweza mzuia kwa chochote ila Mungu tu.Mbona ulifurahia kifo cha Magufuli hapo kijiweni kwako na baadhi ya marafiki zako?!
Acha BM afe na tusilazimishane kusikitikia kifo chake.
BIBLE: AUAE KWA UPANGA NAYE HUULIWA KWA UPANGA.
Baada ya kusoma comment hii nimekumbuka ule uzi wa Tumia akili kuhusu FDRChangamoto ya upumuaji awamu ya pili imeanza, baadhi ya viongozi waandamizi wachukue tahadhari..
🤣🤣HhahHuu mstari UMEUA WATU WENGI SANA PALE SHAKAHOLA
Note: Andiko linaua , ila Neno hutupa uzima wa milele.
Mimi bado nakukatalia Kairuki siyo hospitali ndogo na Agha Khan ni best hospital, hizo zote zina VIP treatment.@Dr Maatola PhD, nadhani uelewa wako juu ya status ya huduma za afya kwa TANZANIA ni mdogo sana. Kwa sasa the best hospital ni za serikali tu, yaani huwezi linganisha Muhimbili na Aga Khan wala Kairuki. Pia Maswali yangu yanalenga kujua kwa nini kiongozi wa serikali tena mwandamizi apelekwe kihospitali kidogo kisichokuwa na hadhi badala ya Muhimbili au hiyo Mzena??? Je usalama wake huko inakuwaje? Kwa hiyo maswali yangu yanalenga hasa kwenye huduma za kiusalama kwa kiongozi maana Mzee Membe kalitumikia hili taifa kwa uzalendo wa hali ya juu, sisi kama rais wazalendo ni muhimu tukafahamishwa kwanini kiongozi wetu apelekwe kihospitali cha kawaida???
Born to town ndo nn mjomba?? Kwani lazima wote tuandike kiinglishi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa utumishi wake uliotukuka kwenye taifa hili BM, na serikali iko upande wao, imekuwaje kifo chake kitangazwe haraka haraka hivi?
Mtu amefariki sijui saa 12 saa 5 asubuhi taarifa zimeshazangaa nchini na kwingineko,
Je Born to Town hana mkono kweli kwenye hili ili aweke anayemtaka yeye 2025 kitini?