Musiba anaishi kama digidigi? Haya ni maneno ya kujifariji tu.

Hivi kwa nguvu na mtandao alionao membe musiba hata akiishi kama digidigi anashindwa kupatikana? Musiba huyu ambae kila leo yupo hapo mwanza akilewa?
Duh! Anashindwa kupatikana kivipi? Kwani ulishawahi kusikia kuna order ya kukamatwa kwake hadi useme "anashindwa kupatikana"?

Au ulisikia kuna mtu alikuwa anamsaka?!

Btw, kwanini awe Mwanza wakati shughuli zake zilikuwa Dar?!
 
Mbona ulifurahia kifo cha Magufuli hapo kijiweni kwako na baadhi ya marafiki zako?!

Acha BM afe na tusilazimishane kusikitikia kifo chake.

BIBLE: AUAE KWA UPANGA NAYE HUULIWA KWA UPANGA.
Acheni kujitia moyo, Membe alikwishastaafu utumishi wa umma so impact ya vifo vyao ni tofauti kabisa. JPM alikua anaogopeka na hakuna aliyeweza mzuia kwa chochote ila Mungu tu.

so msitafute consolation kwa Membe kwamba ni karma he was done at the mainstream politics.

poleni sana
 
Mimi bado nakukatalia Kairuki siyo hospitali ndogo na Agha Khan ni best hospital, hizo zote zina VIP treatment.

Kwa kilichokuwa kinamsumbuwa siyo kitu threat, ila ndio hivyo siku zake zimefika, wengine wanafiaga usingizini majumbani mwao.

Fumbo la kifo linabaki kwa Mungu mwenyewe, Nyerere tulimpeleka London kabisa lakini hakutobowa, na bado Mkapa akanyooshewa kidole kwa kifo hicho, yani Waingereza wasigunduwe hujuma ila ndezi mmoja tu kavimbiwa magimbi anakwambia ni hujuma.

Kama ni utajili wa umbea, majungu na fitina sisi tunaongoza.
 
Born to town ndo nn mjomba?? Kwani lazima wote tuandike kiinglishi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…