Jamaa alikuwa hakui miaka 70 sura Kama Kama kijana wa miaka 30
 
Hao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.
 
Membe alikuwa na personal relationship na pale Kairuki! Kama ni hofu ya usalama, he'd be safer pale Kairuki kuliko huko kwingine.

And REMEMBER: Ni kifua tu kilimbana...

Kairuki haina udogo wa kushindwa ku-handle issues kama hizo lakini siku ikifika, hata mafua yanakuondoa!!
 
Hao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.
Mungu wangu wasukuma nao watani zake mamaaa wamemtaniaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…