BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Inawezekana wao wamefanya mambo wengi wakidhani Musiba.Team msoga imepigwa na jiwe gizani lazima watajibu hili
Pesa sabuni ya rohoJamaa alikuwa hakui miaka 70 sura Kama Kama kijana wa miaka 30
Cha kawaida, Chifu! Hakuna cha mkono wa mtu wala nini!!Hiki kifo ni cha kawaida kweli?
Tena kufru kubwa na ina malipoMbaya sana kusema Mzoga.
Dah wasichojua au kuwaza wanaita hivyo wenzao ni kwamba kila mtu atakufa je aitwe mzoga, au wao hawajawahi kifiwa[emoji17][emoji17][emoji17]Mbaya sana kusema Mzoga.
Kama namuona Musiba huko aliko.🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️
Ndugu yangu misiba ya watani unaweza piga mtuMungu wangu wasukuma nao watani zake mamaaa wamemtaniaaa
Ndo maana yakeee.Hao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.
Mungu ametupa furaha ya weekendKuna chuki si afya kwa Taifa. Badala ya kujenga Taifa mnaishia kuhisiana tu.
Kufa ni kufa tu death is a necessary end. Ugombane usigombane ushangilie usidhangilie unune usinune death will come when it will.Nape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Basi tulia sasaKuna mahali nimelalamika??
Wallah kabisa tutabaki na elimu kichwa tu dunia na vilivyomo visituumize kichwa tujali Kuna kuondoka.Ndugu yangu misiba ya watani unaweza piga mtu
hapajawahi kutokea mwanadamu mtakatifu Mkuu, pole na msiba.Vitakatifu huwa havichanganyiki na viovu!!
Hana hata mvi
Upo sahihi kwa 99%...Inawezekana wao wamefanya mambo wengi wakidhani Musiba.
Ila nzito zaidi ni tatizo la afya linaweza likawa lilimkuta na hizi umri pia kashkash za maisha.
Timing ndo imezua mengi.
AhsanteeeeeView attachment 2618982
View attachment 2618983
Wa sababu Binadamu yupo kwenye kundi moja na wanyama, Hivyo ni sahihi kusema Bwana Membe Kwa sasa ni Mzoga
Mmwera siyo MmakondeHao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.