BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Inawezekana wao wamefanya mambo wengi wakidhani Musiba.Team msoga imepigwa na jiwe gizani lazima watajibu hili
Ila nzito zaidi ni tatizo la afya linaweza likawa lilimkuta na hizi umri pia kashkash za maisha.
Timing ndo imezua mengi.