Kasema kasikitishwa sana na kifo
Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Havuni makapi mkuu.Ukisikia maandiko yakisema mavuno yako tayari kwa kuvunwa,wanao-zungumziwa niDuh.... Mungu anavuna tu mazao yake
Dahhh!! Afanye alipeKasema kasikitishwa sana na kifo
Uliposema anaishi kama digidigi ulimaanisha nini?Duh! Anashindwa kupatikana kivipi? Kwani ulishawahi kusikia kuna order ya kukamatwa kwake hadi useme "anashindwa kupatikana"?
Au ulisikia kuna mtu alikuwa anamsaka?!
Btw, kwanini awe Mwanza wakati shughuli zake zilikuwa Dar?!
Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Hz mbio sio ndogo.. Unavutwa waya kurudi mwanzo na kama kiti ndio chanzo kuna mtu soon anaondoka.hata mi nahamu ya kuona msoga wamepokeje so far hakuna aliepost π
tulitaka mambo haya myaseme mlipokuwa mnamtungia mtu jina la MWENDAZAKE mkasahau kila mtu ataendaWanaoshangilia kifo ni wajinga. Kifo hata ushangilie kwa adui yako bado na wewe utakufa tu iwe leo au kesho. Sioni sababu ya kushangilia kufo maana wote tutakufa
Pole we dada.Haya mie naliaView attachment 2618880
Utani wa makabila hupo, Ila ufike msibani utanie tu weee baadaye case, Umepewa ng'uto, mpaka wakufate upewe ng'uto kazi zote za pale unafanya wewe na utani juu, mi watani wangu wasukuma wanyamwezi siwezi kufika msibani kutania tu, mpaka nipewe ng'uto.Hao watakuwa watani si unajua kwenye misiba watu wanataniana mkuu mh si mmakonde itakuwa watani zake wagogo,wangoni,waruguru,wapogoro,wamanda na wasukuma na makabila mengine ambayo ni watani na wamakonde.
Yesu alisema usipowasamehe wanaokukosea basi na wewe husamehewi , Jasusi kakaza fuvu mpak analamba mchanga , huyo ni moja Kwa moja P.O.Box .....MotoniJASUSI HAFI AMELALA TU.
ATAAMKA SIKU YA MWISHO KWENDA KUMLALI BWANA YESU MAWINGUNI.
na ana conflict na nafsi yake kwa sababu alifurahia kifo cha mtu waoπNafikiri wewe ndo una conflict na nafsi, watu wana comment for fun tu.
Kama Musiba kafanya ile Kitu Wabena wanaita " Tego" ujue hakuna mrithi
[emoji16][emoji16]Mmmhh! Faiza nawe kwa kujifanya Answar hujambo,[emoji23]
Wanadamu wanajisahau sana.Kaka Allen Kilewella! Umeniumiza moyo kwa tahadhari uliyotoa! Lakini huwenda na wewe umesahau kwamba, wewe ni miongoni mwa walio/wameendelea kukashifu sana kuhusu Magufuli kwa kufa kwake
Nimefurahi kusikia kwa kinywa chako leo kwamba, haufai tuishi kwa namna hiyo
Mungu aturehemu
πππ hata pole hatuwapi pambaneni na hali haya mambo ni suala la muda tu aliyecheka jana analia leo ndio maishaKufa siyo kiboko bali kufa ni faradhi!!
Ni mtu mjinga tu anayewaza kwamba kufa ni udhaifu!!
Sukuma gang ni hatari kwa nchi hii ndio hao akina Musiba.Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!