Ukishakuwa CCM automatically wewe unakuwa adui wa taifa.
 
Ana bahati tu kwa sababu ya matumizi ya ARV; vinginevyo na yeye ingesoma
 
Hii iwe fundisho kwa nape makamba na mwigulu nchemba
 
Mhh ulitaka amsamehe mpk musiba HV una akili kweli
 
Musiba hata huko mahakamani hutamuona. Hili wengi hamtaki kujiuliza kwa Nini

Ingekua mtu mwingine wa kawaida leo hii musiba angekua anatumia kifungo kwa kudharau mahakama, maana walimuita mara nyingi akakataa na hakuna kitu wamemfanya
Kwani musiba anakazi gani
 
Membe hakuwahi kuwa adui wa Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…