siyo Nape, sherehe iliwekwa nchi nzima, siyo Mbeya, Manyara, Kilimannjaro, DSM na maeneo mengi nchi hii, au umesahau?
 
Wote hao watajibiwa ipasavyo
Hata jiwe alijibiwa baada ya kutaka kumuuwa Lisu kwa risasi badara yake akazikwa yeye.
Lakini pia kumbuka huyo huyo jiwe ndo alikuwa anashirikiana na Membe na Samweli Sita kuikejeri afya ya Rowasa kipindi cha kampeni mwaka 2015 lakini wote wamesha zikwa na wamemuacha Rowasa walio kuwa wanamkejeli.
 
Kweli ni mzoga...

Hata mtikila alijenga hoja kwamba mnyama yeyote anapokufa anakuwa mzoga. Na vitani watu husema "Mizoga ya Askari wa Russia ilikuwa imezagaa kila mahali.

Mazishi yake ni jukumu la familia yake.
Chuki dhidi ya mnyama yeyote ni kujidunisha nafsi yako mbele za Muumba mbingu na nchi.....sembuse binaadamu?!!!

Aliokupa umasikini na kukunyima nafasi aliyokuwa nayo Membe ni Mungu.....mlilie huyohuyo.....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…