Kama ibilisi wa ufipa
 
Mbna JPM anadhihakiwa humu wazi wazi huwa hutoi hizo nasaha zako??

Tulishakubaliana hapa ukimpenda sana mwendazake wako mfuatee huko aliko ukaungane naye.

Kila mtu acheze na matanga yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nape tayari kivipi!??
 
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]mzoga km mzoga unakutesaaaa??? Rahaa ya kukanda na wewe ukandweee kaa kwa kutulia maneno ya dhihaka mliyaanza wenyewe subirini sindano ziwaingie kwa umivu lile lile.
Tena mwendazake wao wala hajatangazwa kitaifa, yaan katangazwa mitandaoni tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kutesa kwa zamu.
 
Mlimdanganya, Maneno maneno tu iwe b9 [emoji23], hivi b9 mnazijua kweli ? Hizo ni million elfu 9
Unakosea sana kusema tulimdanganya. Una uhakika kuwa kuna watu walimdanganya na miongoni ni mimi. Ebu jaribu kuheshimu watu hata km huna adabu kwa wazazi wako. Tumia kauli za utu uzima na kistaarabu unapochangia hoja siyo Kila aliyemo humu ni mhuni. Tafadhali sn.
 
Taarifa za hivi punde zinasema Benard Memba aliyewahi kua Waziri wa Mambo ya nje amefariki Dunia katika hospital ya Kairuki alipopelekwa baada ya kuugua kifua kwa muda mfupi.

Souce: ITV
Mbona vyanzo vya habari ni wachoyo sana na kushindwa kuinyambua habari ikashiba?

"kifuaa kifua!

Hauwezi kudistinguish hiko kifua?

Tb, pneumonia, Covid au nini?

Mwaona raha sana kutuacha na maswali sisi siyo?
 
decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate na hapa 9billion zimepotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…