Unaumia kutokea wapi aseeWote wanaosema hivyo hawajui kuwa nao ni Marehemu watarajiwa, duniani hapa sisi sote ni wasafiri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lakini Musiba pia atatoa pole za Msiba.
Moja moja .Tuanze upya.Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani, kulitokea uhasama mkubwa sana kati ya watu waliokuwa wanamuunga mkono na wale waliokuwa wanapingana na staili yake ya utawala.
Leo Baada ya kutangazwa kwa Kifo cha Bernard Camilius Membe, unaona kabisa limeibuka kundi la watu humu JF ni kama wanahanikiza furaha yao kwa kifo cha Membe. Watu hao ambao wanajificha nyuma ya kuonesha furaha kwamba Cyprian Musiba hatalipa tena hela alizotakiwa kumlipa Membe, lakini kwa undani unaona kinachowafurahisha zaidi ni kuona mmojawapo wa wapinzani wa Magufuli naye Kafariki.
Wakumbuke kwamba ni wao waliokuwa wanasema wakati wa msiba wa Magufuli kwamba "hakuna atakayeishi milele" na Leo ni ushahidi mwingine kwamba hakuna atakayeishi milele.
Watu wafanye maridhiano dhidi ya nafsi zao!!
Watuache kwa raha zetu kufa kufaana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wasitupangie cha kuposti[emoji1787][emoji1787]Yaani nyie mliofurahi kipindi tunamzika Rais wetu Dr. Magufuli halafu Leo hii mnatuzuia kushangilia kifo cha ndugu yenu tunawashangaa sana.
Ngoja tuone ..Sasa serikali itawindana hadi lini
Si huyu membe ndo alisema kuwa kifo cha magufuli mungu ameamua
Yaan watuacheeee kabisaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watuache kwa raha zetu kufa kufaana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wasitupangie cha kuposti[emoji1787][emoji1787]
Tutaona mwisho wake..Siku zote wenye nguvu na influence kubwa ndio waasisi wa vitu hivyo !!
Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja wa waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe naye. Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Yaan nae kapita njia ile ile km mwenzie, ili ajionee uhalisia.Ati changamoto ya kupumua? Mmh hao hao ndo walimzushiaga jpm.kuwa kafa kwa changamotoa ya kupumua leo yanawarusia
Anway pumzika kwa amani msalimie jpm wetu
Kwa kauli yake ile siku akidondoka JF patachafuka.Mzee Makamba alisema wazuri hawafi, Je huyu BM alikuwa mtu mbaya ?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna jiwe halitogeuzwa. Kila mtu atalia kwa lugha yake na maumivu yake ndipo watakapo sema heri wafu wafao ktk Bwana. Waliodhani wamesha mzika sasa wanajizika wakiwa hai hofu imetanda kila kila mahali nawale wanahaha kutoa roho za wenzao ili madudu yao yasijulikane wakae mkao wakula... Nimwendo wa wali maharage...Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja wa waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe naye. Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Tunakumbuka Sherehe za Kifo cha Chacha South Africa!siyo Nape, sherehe iliwekwa nchi nzima, siyo Mbeya, Manyara, Kilimannjaro, DSM na maeneo mengi nchi hii, au umesahau?