Tanzania ndio nchi pekee mwanasiasa hatakiwi kufa, akifa anatafutwa mtu wa kubebeshwa lawama. Hapo bado hujaongeza kwamba wao hawashtakiwi, hata wakipata ajari tunafichwa, hata wakiumwa hatuambiwi, wakiiba hela wanatakiwa wajifikirie.
Nchi ya ajabu hii
 
Moja moja .Tuanze upya.
 

Watanzania ni wale watu wanaosubiria tukio litokee halaf waongezee mashtaka yao as if Mungu wanaishi nae mtaa mmoja, yaani wamejipa jukumu la kumsemea Mungu.
So pathetic, lakini watanzania wote
 
Hakuna jiwe halitogeuzwa. Kila mtu atalia kwa lugha yake na maumivu yake ndipo watakapo sema heri wafu wafao ktk Bwana. Waliodhani wamesha mzika sasa wanajizika wakiwa hai hofu imetanda kila kila mahali nawale wanahaha kutoa roho za wenzao ili madudu yao yasijulikane wakae mkao wakula... Nimwendo wa wali maharage...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…