Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Wewe unayekijua umeandika kiko wapiAndika kiswahili kingereza kukijui kabisa. Sasa umeandika nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unayekijua umeandika kiko wapiAndika kiswahili kingereza kukijui kabisa. Sasa umeandika nini
Acha kubishana kabla sijakupa Cha chembeWewe unayekijua umeandika kiko wapi
Lugha iliyotumika hapa inaashiria kabisa ni kwa kiwango gani umefurahishwa na kifo cha ndugu Membe! Binadamu kwa nini tunajisahau sana? Hapa tupo kwenye foleni. Huyu katangulia, kesho zamu yetu. Chuki ya nini?Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian Musiba.
Bernard Membe alikuwa na ukaribu mkubwa na Nape Nauye ndiyo maana alipoamua kusitaafu ubunge akamwachia Nape Jimbo la Mtama awe mbunge wao.
Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae.
Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Watuache tuu Kwa kweli , ndo njia waliyochagua wacha tuipite hyo hyo , kama Serikali ilikuwa kimya kipind kile tunahangaika kumpumzisha Mzee wetu kule Chato huku akidharirishwa Kwa dhihaka za kila namna na mpak sasa wanamnanga majukwaani na kwenye mabango , hivyo hvyo wakae Kwa kutulia wakat huu wapendwa wao wanaposhuka kaburini mmoja baada ya mwingine .... Na hatuendi msiban wakazike mizoga Yao huko huko wanakojua. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Leo mmekuwa wakali na wachungu balaa😆😆😆😆Viongozi wa dini ni miungu? Acha kuleta vitisho vya hao matapeli.
Hahahaha.....Walifirahi ni matusi
Atulipi mizoga sisiMusiba atailipa estate ya Membe. Yaani warithi wake.
Zuriii Born to town = Mtoto wa mjini.Born to town ndo nn mjomba?? Kwani lazima wote tuandike kiinglishi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usilipize ubaya kwa ubaya ndugu yakupasa uwaombee wale wanaobehave kama wanyama kitu pekee kinachotutofautisha binadamu na wanyama ni uwezo wa kutambua mema na mabaya vinginevyo tutakuwa hatuna tofauti na punda.Leo ni siku ya furaha sana team JPM tunagonga grass tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1 ya mtu hatari sanaa aliebaki ktk ardhi ya TANZANIA,gusa unase jipendekeze upendekezweR.I.P classmate View attachment 2618763
Usilipize ubaya kwa ubaya ndugu yakupasa uwaombee wale wanaobehave kama wanyama kitu pekee kinachotutofautisha binadamu na wanyama ni uwezo wa kutambua mema na mabaya vinginevyo tutakuwa hatuna tofauti na punda.
Ndio alikuwa mzuri.
Sasa na nyie mnaiga wajinga kuendeleza ujinga ule ule hamna tofautiNdugu tunajaribu kujizuia lakini tukikumbuka waliyomnenea mpendwa wetu na maneno ya kejeri mpaka Leo bado wanayatoa aaah! Ngoja tuende na njia waliyochagua wenyewe.