Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Afilisiwe na nani.Wewe unadhani kuwachafua watu ndio ushabiki chapati? Lazima huyo mbwa afilisiwe ili iwe fundisho kwa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afilisiwe na nani.Wewe unadhani kuwachafua watu ndio ushabiki chapati? Lazima huyo mbwa afilisiwe ili iwe fundisho kwa wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear huna kazii??We si bure. Umegonjeka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!Jamani hakuna hata kavidiuuu ka mzoga akikata roho mara ya mwisho...hakuna mtu alichukuamo kavideo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732]
Kachero kalamba mchangaChaliiiii kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kang'ata shukaa za Kairukiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kachero kalamba mchanga
😁😁😁Ndo ua uras 2025 kwishaaaaa habari
Jasusi kama jasusi mbobevu hatimaye
Atakate rithi kudai sijui itakwaje wakili namuonea huruma
WeweAfilisiwe na nani.
Hawezi kupumzika kwa amani!Pumzka kwa Amani kachero mbobezi Bernard Camilius Membe
Jasusi wa mchongo , eeeh Bwana eeeehKang'ata shukaa za Kairukiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jasusi chaliiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Sasa na nyie mnaiga wajinga kuendeleza ujinga ule ule hamna tofauti
Spotters wa TISS wakikuona unafaa wanakuchukua,wapo kila mahali,nilipokua a level na 20 yrs,spotter aliniona akanifata,kwa akili za kitoto nilikataa,alinibembeleza Hadi tunamaliza six,nkagoma...huwa najuta sometimes japo pengine ningekua nshachezea shabaAlipataje kazi TISS
Ishu ni kwamba Mungu ameamua ugomvikwani aliyekufa ni Nape, acheni kutetea ujinga.
Hapana, atafufuka mshkaji wake aliyekufwa leo membeAkiifuta jiwe atafufuka?