[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!
 
Nakuomba Sana, tafadhali kama utapata nafasi jitokeze hadharani uombe msamaha kwa dhihaka Ile na kama utaona aibu kuongea hadharani basi andika tu kwenye Twitter yako kuomba msamaha.
Ifute ni kauli mbaya ambayo ipo kwenye mioyo ya waliofiwa na huwa wanaikumbuka na kukushitaki kwa MWENYEZI Mungu.
Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…