TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Makamba alinukuliwa hivi karibuni akijinasibu eti wema huwa hawafi kwa nia njema kabisa ni bora aombe msamaha kwa kauli ile ya kifedhuri na iliyokuwa imejaa masimango kwa familia moja iliyokuwa imempoteza mpendwa wao.

Leo naona anashuhudia mmoja wa waliopata kutoa kauli tata kama yake baada ya kifo cha JPM anavyonangwa bila kujali kama kafa!

Nape naye alipata kutoa kauli tata ya eti Mungu aliamua ugomvi.

Jamani, kauli zenu hizo ziombeeni msamaha kabla umauti haujawakuta ili mkwepe cheko kama analochekwa mwendazake BM.

Mungu fundi.
Death is a necessary end na kila kilicho hai kitaonja mauti. Kifo ndicho kitu pekee ambacho kila aliye hai ana hakika nacho.
 
johnthebaptist Tego huwa lina sifa zipi?

Maana mwezi uliopita kuna mwili wa binti ulisusiwa na wana ukoo kuuzika wakidai ana Tego, nilitaka kujitosa mimi ili kuuchukua mwili wa marehemu nikatamani nipate japo wana ukoo hata watu au wanne ili tubembe gharama za mazishi, lkn tulipingwa mkwara hatari na wana ukoo, mwisho wa siku nikawa mimi na mama mdogo tu na yeye ni mama wa nyumbani, ikabidi tuache ila niliumia sana mwana ukoo kuzikwa na Serikali kisa ana Tego.
Je Tego ni kitu gani hasa na je ni kitu halisi au ni woga kwa watu wasio na imani katika Mungu wa mbinguni tu?
Kwa Wabena uchawi wa Tego hupukutisha ama familia au ukoo mzima bwashee

Sasa usiombe Tego likafanywa kwenye mkungu wa Ndizi hapo hadi marafiki wa karibu watafikiwa kulingana na Idadi ya ndizi

Mbena akifa ni lazima wajiulize kwa mganga Kabla ya maziko ilu kama ni Tego liteguliwe!
 
A decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate.
Answer:

If the decree holder has already died before filing the execution petition, it may be necessary for the legal heirs of the decree holders to first obtain succession certificate (or satisfy one of the other conditions, as mentioned below) before they can file the execution petition.

Acha kuchekelea ujinga billion 9 lazima zilipwe hata kwa kuzinya
 
Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian Musiba.
Bernard Membe alikuwa na ukaribu mkubwa na Nape Nauye ndiyo maana alipoamua kusitaafu ubunge akamwachia Nape Jimbo la Mtama awe mbunge wao.

Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae.
Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Huku ni kuchanganya mambo...
 
Membe kafa kishujaa na kifo cha kawaida kama atakakufa binadam yeyote yule.
Tatizo ni pale unapoua kutesa, kuteka binadam wenzako wakati na wewe njia moja hiyo hiyo. Ndo maana tulifurahi
 
Kwa Wabena uchawi wa Tego hupukutisha ama familia au ukoo mzima bwashee

Sasa usiombe Tego likafanywa kwenye mkungu wa Ndizi hapo hadi marafiki wa karibu watafikiwa kulingana na Idadi ya ndizi

Mbena akifa ni lazima wajiulize kwa mganga Kabla ya maziko ilu kama ni Tego liteguliwe!
Duuuuh hivi uchawi huu upo kweli?
Ila kama wewe ni Mwislamu safi au Mkristo safi sidhani kama uchawi huu utafanya kazi.
 
J4 siku ya kupumzisha Jasusi km kachero.
FB_IMG_16839025660935686.jpg
 
Back
Top Bottom