Death is a necessary end na kila kilicho hai kitaonja mauti. Kifo ndicho kitu pekee ambacho kila aliye hai ana hakika nacho.
 
Kwa Wabena uchawi wa Tego hupukutisha ama familia au ukoo mzima bwashee

Sasa usiombe Tego likafanywa kwenye mkungu wa Ndizi hapo hadi marafiki wa karibu watafikiwa kulingana na Idadi ya ndizi

Mbena akifa ni lazima wajiulize kwa mganga Kabla ya maziko ilu kama ni Tego liteguliwe!
 
A decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate.
Answer:

If the decree holder has already died before filing the execution petition, it may be necessary for the legal heirs of the decree holders to first obtain succession certificate (or satisfy one of the other conditions, as mentioned below) before they can file the execution petition.

Acha kuchekelea ujinga billion 9 lazima zilipwe hata kwa kuzinya
 
Huku ni kuchanganya mambo...
 
Membe kafa kishujaa na kifo cha kawaida kama atakakufa binadam yeyote yule.
Tatizo ni pale unapoua kutesa, kuteka binadam wenzako wakati na wewe njia moja hiyo hiyo. Ndo maana tulifurahi
 
Duuuuh hivi uchawi huu upo kweli?
Ila kama wewe ni Mwislamu safi au Mkristo safi sidhani kama uchawi huu utafanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…