mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Kumbe ni SKG umefufuka kutoka kajishimo ka chattle!? Go back to hell my friend!Ah wapi anayeendesha ni Msiba! = death
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni SKG umefufuka kutoka kajishimo ka chattle!? Go back to hell my friend!Ah wapi anayeendesha ni Msiba! = death
Sijui aiseeVipi tumbo limepungua sasa?
…. masela wanasema israel bado hajapiga penyewe eti wapo kwenye maombi wakikesha na kuswalo ili rope ikatike. Ila chuki kubwa mno. Nadhani wali underestimate kama ilivyokuwa kwenye kumuaga Dkt Magufuli walidhani anachukiwa wakadhani watu hawatajitokezaUjumbe toka ughaibuni sauti zilizovuja pole sana Nape,kinana na Makamba tukumbuke kifo kinachukua washamba na wa mjini kilichopo duniani tunapita tuache kibri cha madaraka jasusi mbobezi hakuweza kuing'amua hila ya israeli mtoa roho,itelejensi zote lakini hawakuwa na taarifa muda na saa.
Pole sana nape msiba ni wetu!
Makonda alikuwepo kwa niaba ya Kanda ya ZiwaSijaona watu wa kanda ya ziwa kwenda kuzikwa msiba umezikwa na watu wachache sana na marafiki tu ila kwa sababu msiba ni matashi ya mtu
Swa mkuuMakonda alikuwepo kwa niaba ya Kanda ya Ziwa
Ila kweli kabisa kanda ya ziwa hawakuwepo kabisa maana dodo inaweza kuwa alikuwa master mind wa game la kisu kikali kwa magSijaona watu wa kanda ya ziwa kwenda kuzikwa msiba umezikwa na watu wachache sana na marafiki tu ila kwa sababu msiba ni matashi ya mtu
Kungekuwa na nidhamu ya hali ya juu na nchi ingekuwa mbele kimaendeleo.Vyovyote vile bahari ilitulia kwa kutangulia dictator magufuli
Ebu wazia yule shetwan angekuwa hai mpaka Leo ingekuwane?
Wafanyabiashara wasinge goma,elfu kumi ingetosha milo mitatu kwa familia ya baba mama na watoto watatu na chenchi ingebaki .Vyovyote vile bahari ilitulia kwa kutangulia dictator magufuli
Ebu wazia yule shetwan angekuwa hai mpaka Leo ingekuwane?
Nchi bado ingekuwa uchumi wa Kati, nchi isingekuwa shamba la Bibi.Vyovyote vile bahari ilitulia kwa kutangulia dictator magufuli
Ebu wazia yule shetwan angekuwa hai mpaka Leo ingekuwane?
Maendeleo mafiii yako?Kungekuwa na nidhamu ya hali ya juu na nchi ingekuwa mbele kimaendeleo.
Ni nani amewahi kukosa watu wa kumzika labda? Ni hivi dhalimu ni dhalimu tu hata mkidhani mna impact hiyo. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.…. masela wanasema israel bado hajapiga penyewe eti wapo kwenye maombi wakikesha na kuswalo ili rope ikatike. Ila chuki kubwa mno. Nadhani wali underestimate kama ilivyokuwa kwenye kumuaga Dkt Magufuli walidhani anachukiwa wakadhani watu hawatajitokeza
Kipindi cha dhalimu ndio vitu vilipands bei, we huwezi kujua maana ulikuwa unaishi kwa mjomba.Wafanyabiashara wasinge goma,elfu kumi ingetosha milo mitatu kwa familia ya baba mama na watoto watatu na chenchi ingebaki .
Siwezi kushabikia kifo cha Mh. Membe na siwezi kamwe kumdhihaki kama mnavyofanya enyi kundi la Dkt Samia na Dkt Kikwete. Mnachokifanya na ujinga sana. Najua umeandika kunidhihakia Dkt Magufuli ukijua nitakasirika namimi nimdhihaki Mh. Membe, hapana siwezi kabisa.Ni nani amewahi kukosa watu wa kumzika labda? Ni hivi dhalimu ni dhalimu tu hata mkidhani mna impact hiyo. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.