The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Maisha na Nyakati za Marehemu Edward Ngoyai Lowassa
Jana, Makamu wa Rais Dokta Philip Mpango aliwatangazia Watanzania kwamba Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Tanzia hii inazungumzia matukio muhimukuhusu marehemu Lowassa ambaye alishika nyadhifa mbalimbali serikalini na kisiasa. Makala haitozungumzia...