Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Done.Muongeze Tumia akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Done.Muongeze Tumia akili
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Yeah, Jamaa Yuko updated. So usishangae ni mmoja wa watekelezajiSio mtabiri,
Ni mwana mipango na mtekelezaji
mpaka half time, timu msoga 1 - 1 sukuma gang. tusubiri second half.itabidi turudi kwenye archive tutazame upya zile clip za mwisho mwisho alizokuwa anahojiwa na waandishi wa habari....tupime umbali wa yeye na microphone.
ila yote kwa yote, mpaka half time, timu msoga 1 - 1 sukuma gang. tusubiri second half.
jamani raha si raha?....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amuongeze na @magambamatatuMuongeze Tumia akili
Membe at 70 ni mzee,tena aliyekwisha stahafu kitambo.[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaa... team msoga inaendelea kupokea kichapo.
Tutarajie kuona ugonjwa wa kifua maeneo ya chalinze hadi msoga.
Mimi naomba kujua je Magu hakuwa fisadi au ndiyo kujificha kwenye mwamvuli wa uzalendo? embu waza hivi ikiwa kama kweli alikuwa ni mzalendo kwanini alitaka zaidi kukijenga kijiji chake hata kutaka kukibadili kiwe mkoa?Kama hiki ukichoandika ni cha ukweli, basi mimi nina mtizamo tofauti, kwamba tuna vita kati ya makundi 2; kundi la kwanza ni la wazalendo likiongozwa na JPM/SUKUMA GANG na kundi la pili ni la mafisadi au watu wasio na uchungu na rasilimali za nchi likiongozwa na MSOGA GANG.
Ni sawa na ile vita kati ya wema na ubaya ambayo tunahakikishiwa kabisa kwamba pamoja na ubaya kuonekana kuwa na nguvu sana, lakini mwisho wa siku wema lazima utashinda.
Ngoja tuone pia hii vita kati ya wazalendo na mafisadi (ambao nafikiri ina wahusika pia katika mifumo yote ya nchi kwa maana watumishi wa serikali, wakulima, wafanyabiashara n.k), tuone wepi kati yao watakaoshinda..
Sisi wengine ni wapenzi watazamaji.
Niambie rais gani hajajenga ama kufanya na kufanyiwa maendeleo kwao nikuonyeshe, marrow down hata kwa mawaziri wakuu ambao wengine wamepewa hadi mikoa za wilaya 3 kabisa na airports,Mimi naomba kujua je Magu hakuwa fisadi au ndiyo kujificha kwenye mwamvuli wa uzalendo? embu waza hivi ikiwa kama kweli alikuwa ni mzalendo kwanini alitaka zaidi kukijenga kijiji chake hata kutaka kukibadili kiwe mkoa?
na je hela alizokuwa anagawa barabarani kama karanga alikuwa anazitoa wapi? kwanini hakutaka kupingwa kama kweli hana makandokando? ... kama mtu ni msafi woga ulitoka wapi hata kufanya bunge liwe la chama kimoja tu.
Je kuwaua wapinzani wako hiyo ni haki mbele za Mungu? kuzui pesa za watu benk kwa kisingizio cha uhujumu uchumi hiyo ni sawa mbele za Mungu?. kwanini alisema yeye hapangiwi je yeye alikuwa ni malaika kwamba hakosei?..
Viongozi kujenga kwa siyo tatizo, Tatizo speed ya magu kujenga kwao ilikuwa inashangaza sana, yaani kufikia hadi kubadili kijiji kuwa mkoa huoni hili ni tatizo na mbaya kabisa niile kutaka kuendelea kuwa rais hata pale muda wake wa kikatiba kuisha kwa kisingizio miradi haijaisha na hakuna mwingine wa kumalizia.Niambie rais gani hajajenga ama kufanya na kufanyiwa maendeleo kwao nikuonyeshe, marrow down hata kwa mawaziri wakuu ambao wengine wamepewa hadi mikoa za wilaya 3 kabisa na airports,
Hata current presdizaa unajua kinachofanyika kwao miundombinu na vingine? Au wewe sio mvuka maji?
Achana na hizo flavorous issues, let's discuss big issues za maendeleo
Naona kaamua kufata ushauri wako kapooza doso [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kupiga ushuzi kama wote. Tanzania sihami😂😂😂😂Source ipi!? waandishi wa Buza mkishiba makande mnaanza kuropoka tuu
Mkuu, am not biased ila ukiwa rais kwa nje ni rahisi kujudge ila ndani ya taasisi ni tofauti. Kwa mfano, suala la kuongozewa ama kujiongezea muda (kama mnavyouaminisha umma) Je ni lini rais alitoka nje na kusimama na kutangaza kuwa anahitaji kufanya mchakato wa kujiongezea muda? Jibu HAKUNA ni here say tu, utasema wabunge walikua wanasema, na walitumwa? Hapana, siasa ina mambo mengi. Huwezi kuhukumu here says.Viongozi kujenga kwa siyo tatizo, Tatizo speed ya magu kujenga kwao ilikuwa inashangaza sana, yaani kufikia hadi kubadili kijiji kuwa mkoa huoni hili ni tatizo na mbaya kabisa niile kutaka kuendelea kuwa rais hata pale muda wake wa kikatiba kuisha kwa kisingizio miradi haijaisha na hakuna mwingine wa kumalizia.
Utakuwa fisadi wewe si bure! JPM alichukiwa sana na mafisadi!Pamoja na taarifa zote hizi za kiuongozi na kiutawala kabla na baada ya joni kurudishwa mavumbini, bado kuna wanaoamini alikuwa shujaa/mzalendo?!
Basi Yesu wa Tongaren ana wateja weng nchini.
Nadhan tunapata shida vile tu tunaringanisha mtu dhidi ya mtu badala ya kupima kwa kanuni/sheria.
Hebu fikiria ukipambanisha vitu viwili vyote vibovu, ab initio, utapata kizuri?
Mkuu nadhani tuishie tu hapa maadam Mungu alijua yote ndiyo maana leo mambo ni shwari basi tuendelee kumtukuza Mungu.Mkuu, am not biased ila ukiwa rais kwa nje ni rahisi kujudge ila ndani ya taasisi ni tofauti. Kwa mfano, suala la kuongozewa ama kujiongezea muda (kama mnavyouaminisha umma) Je ni lini rais alitoka nje na kusimama na kutangaza kuwa anahitaji kufanya mchakato wa kujiongezea muda? Jibu HAKUNA ni here say tu, utasema wabunge walikua wanasema, na walitumwa? Hapana, siasa ina mambo mengi. Huwezi kuhukumu here says.
Nahisi kuchelea Chato huijui vema (nisahihishe kama nakosea), Na hakuna alisimama akasema ataipa hadhi ya mkoa Chato kama Chato. Tutasema pia alikua na mpango huo? Yes or No coz ni here says na speculations. Watanzania wengi tulipatwa uoga na kupigwa butwaa na aina yake hekaheka zake za uongozi, we never used to such kind of leadership kwa muda mrefu isipokuwa tu wale tulio ona utawala wa Mwl.
Kuna watu na wabunge wanasema Mama anatosha past 2030+, wengine wanasema sura yake awekwe kwenye pesa ya nchi. Je yeye kasema ama ni here says tu.
Naheshimu mawazo yako ila tujikite kwenye big issues, wanasiasa na wanaofaidi nchi hii ndio wanaotugonganisha na kutuburuza waendelee kula. It is a cycle
Sawa sawa, ila tukumbuke mambo is never shwari mkuu katika awamu yeyote ile. Struggles ni nyingi sana.Mkuu nadhani tuishie tu hapa maadam Mungu alijua yote ndiyo maana leo mambo ni shwari basi tuendelee kumtukuza Mungu.
Yeah mambo siyo shwari lakini mwisho wa siku yatakuwa shwari tu. Katika hizi familia 2 kati ya Vito Corleone a.k.a Godfather na Barzini family wengi watakufa lakini Corleone family itaibuka mshindi kwasababu mtandao wao ni mkubwa sana na wapo very smart kudili na adui yao.Sawa sawa, ila tukumbuke mambo is never shwari mkuu katika awamu yeyote ile. Struggles ni nyingi sana.
Uongo huuWatajuana wenyewe, maana zote hizo ni tamaa za kula mali ya nchi wao pamoja na familia zao, inafika mahali kuna baadhi ya familia zina red dots lakini bado haiondoi uhalisia kwamba mwendazake ameacha alama mbaya, ameua na kuteka wengi, ameliza familia nyingi tena waziwazi bila woga, ameacha vilema wengi, homeless, mayatima na wajane, na mbaya zaidi ameiacha nchi katika chuki na mgawanyiko mkubwa
Yeyote aliendoa uhai wake amefanya kwa maslahi ya wengi, tuishi humo, maombi ya wengi yalijibiwa
Ukiendelea kuwa na akili ya hivi hasara ni kwa watoto wako wala wewe huwezi kupata hasaraHuu uzi unazidi kuwachafu watu ya kanda yq ziwa, unafanya wasukuma waonekane ni waty wabaya kuahi kutokea hapa Tanzania kwa ukatili wao na matendo yao ya uuwaji, utekaji na uonevu wakiongozwa na shujaa mwendazake
Itafika mahali hizi chuki zitawajaa watanzania na wasukuma watakua kwenye hali ngumu sana
Wewe dada achana na Magufuli kahangaike na Mzoga wa ndugu yako Membe pale MikocheniWatajuana wenyewe, maana zote hizo ni tamaa za kula mali ya nchi wao pamoja na familia zao, inafika mahali kuna baadhi ya familia zina red dots lakini bado haiondoi uhalisia kwamba mwendazake ameacha alama mbaya, ameua na kuteka wengi, ameliza familia nyingi tena waziwazi bila woga, ameacha vilema wengi, homeless, mayatima na wajane, na mbaya zaidi ameiacha nchi katika chuki na mgawanyiko mkubwa
Yeyote aliendoa uhai wake amefanya kwa maslahi ya wengi, tuishi humo, maombi ya wengi yalijibiwa