Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Lakini kwa nini na yeye alifanya sherehe?
Hivi msiba nao ni wa kufanyia sherehe kweli?
Msiba ambao uliwagusa mamilioni ya Watanzania hasa wale wenye mapenzi mema na nchi yao?
Msiba wa kuondokewa na shujaa wa nchi kuwahi kutokea tangu tupate uhuru, unaufanyia sherehe?!
Hata mimi najua kwa yeyote mzalendo na ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya nchi yake, angeliweza kufanya chochote, wakati wowote kwa yeyote ambaye kwa namna yoyote alisherehekea msiba wa Hayati JPM.
Binafsi nakiri wazi kabisa, toka nizaliwe hadi leo nakaribia miaka 50, sijawahi kuguswa na msiba wowote hata wa ndugu yangu wa karibu, kama nilivyoguswa na msiba wa Shujaa, Hayati JPM. Hii yote ni kutokana na jinsi alivyoioenda nchi yake pamoja na wananchi wake hasa wananchi wanyonge!
Una hakika alifanya sherehe au ndio uzushi wa watu tu?
Ni vyema Kuna vitu kabla ya kuviongea vithibitishwe kwanza
 
Hili suala wahusika wasilichukulie poa, this is a testament that Magufuli/ Sukuma gang is still alive and kicking in Spite of their GODFATHER sleeping six feet under somewhere in CHATTLE!
Mjomba inabidi aanze kupiga RAMLI!
Kama hiki ukichoandika ni cha ukweli, basi mimi nina mtizamo tofauti, kwamba tuna vita kati ya makundi 2; kundi la kwanza ni la wazalendo likiongozwa na JPM/SUKUMA GANG na kundi la pili ni la mafisadi au watu wasio na uchungu na rasilimali za nchi likiongozwa na MSOGA GANG.
Ni sawa na ile vita kati ya wema na ubaya ambayo tunahakikishiwa kabisa kwamba pamoja na ubaya kuonekana kuwa na nguvu sana, lakini mwisho wa siku wema lazima utashinda.
Ngoja tuone pia hii vita kati ya wazalendo na mafisadi (ambao nafikiri ina wahusika pia katika mifumo yote ya nchi kwa maana watumishi wa serikali, wakulima, wafanyabiashara n.k), tuone wepi kati yao watakaoshinda..
Sisi wengine ni wapenzi watazamaji.
 
Una hakika alifanya sherehe au ndio uzushi wa watu tu?
Ni vyema Kuna vitu kabla ya kuviongea vithibitishwe kwanza
Ila yote kwa yote kama hakuomboleza, ina maana atakuwa alifurahia. Kuna vitu hakuna ile hali ya kuwa neutral. Ni aidha unasikitika au unafurahia, period.
 
Pamoja na taarifa zote hizi za kiuongozi na kiutawala kabla na baada ya joni kurudishwa mavumbini, bado kuna wanaoamini alikuwa shujaa/mzalendo?!
Basi Yesu wa Tongaren ana wateja weng nchini.
Nadhan tunapata shida vile tu tunaringanisha mtu dhidi ya mtu badala ya kupima kwa kanuni/sheria.
Hebu fikiria ukipambanisha vitu viwili vyote vibovu, ab initio, utapata kizuri?
 
Lakini kwa nini na yeye alifanya sherehe?
Hivi msiba nao ni wa kufanyia sherehe kweli?
Msiba ambao uliwagusa mamilioni ya Watanzania hasa wale wenye mapenzi mema na nchi yao?
Msiba wa kuondokewa na shujaa wa nchi kuwahi kutokea tangu tupate uhuru, unaufanyia sherehe?!
Hata mimi najua kwa yeyote mzalendo na ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya nchi yake, angeliweza kufanya chochote, wakati wowote kwa yeyote ambaye kwa namna yoyote alisherehekea msiba wa Hayati JPM.
Binafsi nakiri wazi kabisa, toka nizaliwe hadi leo nakaribia miaka 50, sijawahi kuguswa na msiba wowote hata wa ndugu yangu wa karibu, kama nilivyoguswa na msiba wa Shujaa, Hayati JPM. Hii yote ni kutokana na jinsi alivyoipenda nchi yake pamoja na wananchi wake hasa wananchi wanyonge!
Sasa huo ni mtazamo wako mkuu kama wewe ulimkubali JPM basi sio wote walio mkubali.
Mungu tu hakubaliwi na binadamu wate sembuse JPM?.
MEMBE na magufuli walifikia uadui mkubwa, sasa kama ndivyo ulitegemea membe asifurahie kifo Cha magufuli ikiwa membe alimuona magufuli kama tishio kwa usalama wake?

Yote wa yote maisha ya visasi ni mabaya sana, tutegemee mwendelezo wa kuuana kama wahusika hawatokaa chini wakayamaliza.
 
Hili suala wahusika wasilichukulie poa, this is a testament that Magufuli/ Sukuma gang is still alive and kicking in Spite of their GODFATHER sleeping six feet under somewhere in CHATTLE!
Mjomba inabidi aanze kupiga RAMLI!
Hata hao sukuma gang watakufa tu, siku zao zikifika watalala kama mwendazake
Ni suala la muda tu
 
Huu uzi unazidi kuwachafu watu ya kanda yq ziwa, unafanya wasukuma waonekane ni waty wabaya kuahi kutokea hapa Tanzania kwa ukatili wao na matendo yao ya uuwaji, utekaji na uonevu wakiongozwa na shujaa mwendazake

Itafika mahali hizi chuki zitawajaa watanzania na wasukuma watakua kwenye hali ngumu sana
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Hatimaye aliyesherehekea kifo cha mwenzake naye kalamba nchanga.

Malipo ni hapa hapa Duniani.

Bahari imetulia, Mungu anaendelea kuamua ugomvi.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
View attachment 2607733View attachment 2607735View attachment 2607736View attachment 2607737View attachment 2607738
Na wewe mwandishi ngoja ushughulikiwe na hii sukuma gang. Hapa naona Kuna vita ya chini chini ya watu wa Kusini na wasukuma maana hata mwendazake alienda huko Kusini akafanywa hamna Sasa waache waendelee kushindanisha uchawi Ila hii nchi inalindwa na Mungu na sote tutakufa itabaki milima tu.
 
Back
Top Bottom