Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

e, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.
For those who are close to power, this is a wake up call!! Mama should not hesitate to take action whenever duty calls otherwise any delays could be costly!! Sio wote walio karibu nae wanamtakia mema!!
 
Shkamoo Jasusi.

Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".

Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.

Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.

Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?

MICROPHONE CHECK?

ONE TWO MICROPHONE CHECK?

TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]

Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?

Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.

Code[emoji119]
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Aiseeee
 
Shkamoo Jasusi.

Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".

Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.

Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.

Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?

MICROPHONE CHECK?

ONE TWO MICROPHONE CHECK?

TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]

Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?

Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
Haaaaah!! Mwanangu hawa jamaa kumbe ni kweli wanauwana?
Basi huyo jamaa TumainiEl ni miongoni mwa wale viongozi wa dini waliokwenda kumuombea musiba msamaha. Kama sio malasusa basi pengo.
 
Hapana chanjo za kovidi zimegandisha damu ....mtuhumiwa ni chifu aliye leta chanjo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu hii Ngoma Bado mbichi, Hawa wana mitandao watamalizana.usishangae watoto wa mjini wakajibu mapigo kwa kuwalaza chini wawili au watatu kwa mpigo.
Kama move vile kumbe kweli.
 
Shkamoo Jasusi.

Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".

Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.

Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.

Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?

MICROPHONE CHECK?

ONE TWO MICROPHONE CHECK?

TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]

Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?

Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
Ungehitaji sehemu maalumu ili uwe na nafasi kama ya Tumainiel endapo ungedadavua hivi kabla ya tukio la Leo. Hata hivyo, upo fit.
 
Mkuu hii Ngoma Bado mbichi, Hawa wana mitandao watamalizana.usishangae watoto wa mjini wakajibu mapigo kwa kuwalaza chini wawili au watatu kwa mpigo.
Kama move vile kumbe kweli.
Thubutuuuuuu, watoto wa kariakoo watabagazwaa na wa linguse nguse hadi waite maji mma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumekuchaaaaaaa
 
hii comment ni ya tarehe 30 April leo Membe Character mkuu anafariki. hakika JF ina mambo mazito

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu amini usiamini kuna watu wana midomo mibaya, wakisema yanakuwa kweli! Kwa kweli hata mimi kuanzia leo, natangaza rasmi kumheshimu Bwana Mkubwa TumainEl. Much respect to you brother!
Rahaaaaaa, afu mabao yote yamefungwa kwa free kick. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha kale ka clip kake kalikovuja!
Kwamba eti jamaa anashindwa kufunga wakati goli liko wazi...
Kumbe kwenye kufunga kuna kufungwa pia!
 
Muulize TumainiEl anajua masuala ya intelligence kutoka ndani huko deep state family juu ya nini wanachofanyiana umafioso kwa kwenda Mbele hizo Gambino family ukizingua bila tahadhari unaingizwa kwenye Butcher, sasa wanachodai wao eti Mzee Membe wakati wa kifo Cha ankari Magu alifanya sherehe yaan jamaa ndio wameshikia hapo, wanasema kwamba km alifanya sherehe kifo Cha Magu basi na yeye wana haki ya kumuua na kumpoteza kabisa na mazima, according to deep state family members in JF
Lakini kwa nini na yeye alifanya sherehe?
Hivi msiba nao ni wa kufanyia sherehe kweli?
Msiba ambao uliwagusa mamilioni ya Watanzania hasa wale wenye mapenzi mema na nchi yao?
Msiba wa kuondokewa na shujaa wa nchi kuwahi kutokea tangu tupate uhuru, unaufanyia sherehe?!
Hata mimi najua kwa yeyote mzalendo na ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya nchi yake, angeliweza kufanya chochote, wakati wowote kwa yeyote ambaye kwa namna yoyote alisherehekea msiba wa Hayati JPM.
Binafsi nakiri wazi kabisa, toka nizaliwe hadi leo nakaribia miaka 50, sijawahi kuguswa na msiba wowote hata wa ndugu yangu wa karibu, kama nilivyoguswa na msiba wa Shujaa, Hayati JPM. Hii yote ni kutokana na jinsi alivyoipenda nchi yake pamoja na wananchi wake hasa wananchi wanyonge!
 
Back
Top Bottom