Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Duh[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Shkamoo Jasusi.

Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".

Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.

Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.

Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?

MICROPHONE CHECK?

ONE TWO MICROPHONE CHECK?

TAREHE 12 KIPAZA SAUTI KINADEDISHWA. [emoji50]

Ama, MICROPHONE maana yake ni TAARIFA YA HABARI?

Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI, MTU ANADEDISHWA.
Duh hii deduction yako ni hatari.
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Aiseee nimeogopa ggafla
 
Kwahiyo sukuma gang wamemmaliza membe?
Muulize TumainiEl anajua masuala ya intelligence kutoka ndani huko deep state family juu ya nini wanachofanyiana umafioso kwa kwenda Mbele hizo Gambino family ukizingua bila tahadhari unaingizwa kwenye Butcher, sasa wanachodai wao eti Mzee Membe wakati wa kifo Cha ankari Magu alifanya sherehe yaan jamaa ndio wameshikia hapo, wanasema kwamba km alifanya sherehe kifo Cha Magu basi na yeye wana haki ya kumuua na kumpoteza kabisa na mazima, according to deep state family members in JF
 
Back
Top Bottom