DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
naamMuda utaongea maana haujasimama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naamMuda utaongea maana haujasimama
Utajua hujuiKWA hio sukuma gang wapo juu ya mahakama
Mbona unasikitika mkuu[emoji30]
ni wazi serikali ya ccm imeingia kwenye mauaji ya visasi. ikiwa comment hii uliiweka April 30 leo Membe anafariki. nasadiki kifo cha magufuli kuna mambo kumbe hizi story watu wakubwa team msoga kufanya sherehe za kifo cha Magufuli ni za kweli. JF idumuNilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
We jamaa watu wanakupuuzaga ila inaonekana una info nyingi tuUkinunua musiba unanunua msiba nani atanunua?
Exactly, sisi zetu bisi tu kwa kizungu wanaiita popcorn… mjomba washa kideo…sisi tusiofungamana na upande wowote tunaona raha sana sukuma gang wanavyoparurana na timu msoga. uwaneni tu maana wote nyinyi ni walewale tu. mpo madarakani kulinda interest zenu.
tunasubiri tuone vile timu msoga watamdondosha nani huko sukuma gang ili kulipiza kifo cha mwenzao membe(if it's true from what i hear about his death).
yaaani raha mpaka basi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa na jasusi wakoNilisema haya mambo yako deep! Unakuta kuna pande zilikuwa zinashughulikiana na kwa nyakati hizo yumkini sababu zilikuwepo na waliokuwa nyuma ya Musiba wapo.
Membe pia anajua kila kitu ndio maana pamoja na connection zake za ndani lakini bado akatumia mahakama! Msifikiri Jasusi kama Membe anaweza kuwa vitani na Musiba! Membe anashughulikiana na wanaofahamiana vyema.
Huko ndani CCM wanajua picha yote sisi huku nje tunashabikia tu. Acha tuwe wapenzi watazamaji tutaona hii sinema itavyoisha.
mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali
Wewe bado ni mtoto mchanga sana kwenye haya mamboWengi wanaota vitu vya ajabu, na wengine mpaka huwa wanatembea, kumbe wapo usingizini. Lakini huyu wa leao amevunja rekodi, skiwa usingizini mpaka snakuwa na uwezo wa kuandika.
Tumwombe akiamka afute huu uzi wake wa usingizini. Walio karibu naye wamshauri afike hospitali. Ndoto za hivi zinaweza baadaye zikageuka kuwa ukichaa.
Mlio wazima mpuuzeni huyu muotandota. Leseni za biashara huwa hazifutwi wala kunyang'anywa kama chungwa. Hata ukifanya kosa au kuhisiwa umefanya kosa, unaandikiwa barua kujibu tuhuma. Baada ya kujibu, hata kama maelezo yako hayakukubaliwa, utapewa muda wa kurekebisha hayo makosa au kulipa kodi kama unadaiwa. Kipindi kifupi kabisa unachoweza kupewa ni mwezi mmoja. Lakini unaweza kupewa hata mwaka mzima kama.mamlaka zitajiridhisha kuwa kuna sababu ya kufanya hivyo.
Kwa hiyo hii ndoto ya huyu mwenzetu ipuuzeni kama mnavyopuuza umbea mbalimbali.
Huo muda mtumieni kuchangishana vibubu alipe deni. Musiba ni mtoto mdogo mbele ya Membe kama unataka watumie figisu. Mtu kafyatuka from nowhere kajulikana miaka mitano tu ndio mtake azungushane na kachero mkongwe.
Kwahiyo mpango wenu wa kuomba msamaha kupitia maaskofu umegonga mwamba na sasa mnatumia kisingizio cha Sukuma gang
raha sana yaan...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Exactly, sisi zetu bisi tu kwa kizungu wanaiita popcorn… mjomba washa kideo…
itabidi turudi kwenye archive tutazame upya zile clip za mwisho mwisho alizokuwa anahojiwa na waandishi wa habari....tupime umbali wa yeye na microphone.Shkamoo Jasusi.
Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".
Leo ni tarehe 12 (ONE TWO).
Ahsante sana.
Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.
Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?
MICROPHONE CHECK?
Duuuuu, wewe ni noumerNilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
jamani raha si raha?....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati umepata muda.Ngoja niupe muda wakati
Eti dalali tu angeingiza karibu 900m. Uhuni huu.Japo sitetei aliyokuwa anayafanya Musiba ila b9 wametumia hesabu zipi yaani maneno tu mtu adai b9 😄
Who is next now!?ni wazi serikali ya ccm imeingia kwenye mauaji ya visasi. ikiwa comment hii uliiweka April 30 leo Membe anafariki. nasadiki kifo cha magufuli kuna mambo kumbe hizi story watu wakubwa team msoga kufanya sherehe za kifo cha Magufuli ni za kweli. JF idumu
Sent using Jamii Forums mobile app