Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Source ipi!? waandishi wa Buza mkishiba makande mnaanza kuropoka tuu
IMG-20230502-WA0017(1).jpg
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
View attachment 2607733View attachment 2607735View attachment 2607736View attachment 2607737View attachment 2607738
Kwani membe hukumu kapewa kwa haki? Musiba alikua anasema kweli tupu. Hao waliyokua wanamsengenya magufuli na kumuhujumu mbona hawakuchukuliwa hatua badala yake wakasamehewai. Membe alionyesha dharau kwa mwenyekiti wa ccm hadi kufukuzwa ccm. Kurejeshewa uanachama na samia asijidai sio mtu fisadi. Samia na hao gang of four ndio haohao tu.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
View attachment 2607733View attachment 2607735View attachment 2607736View attachment 2607737View attachment 2607738
Haya majitu ya Sukuma Gang bado yanaendesha nchi remotely from unknown location. Rais Samia asipowafutilia mbali hawa chawa kupitia TISS, mwaka 2025 anaweza kuambulia manyoya
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
hii comment ni ya tarehe 30 April leo Membe Character mkuu anafariki. hakika JF ina mambo mazito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani membe hukumu kapewa kwa haki? Musiba alikua anasema kweli tupu. Hao waliyokua wanamsengenya magufuli na kumuhujumu mbona hawakuchukuliwa hatua badala yake wakasamehewai. Membe alionyesha dharau kwa mwenyekiti wa ccm hadi kufukuzwa ccm. Kurejeshewa uanachama na samia asijidai sio mtu fisadi. Samia na hao gang of four ndio haohao tu.
Haya majitu ya Sukuma Gang bado yanaendesha nchi remotely from unknown location. Rais Samia asipowafutilia mbali hawa chawa kupitia TISS, mwaka 2025 anaweza kuambulia manyoya
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Dah sisemi kitu
 
Huo muda mtumieni kuchangishana vibubu alipe deni. Musiba ni mtoto mdogo mbele ya Membe kama unataka watumie figisu. Mtu kafyatuka from nowhere kajulikana miaka mitano tu ndio mtake azungushane na kachero mkongwe.

Kwahiyo mpango wenu wa kuomba msamaha kupitia maaskofu umegonga mwamba na sasa mnatumia kisingizio cha Sukuma gang
[emoji30]
 
Nilisema haya mambo yako deep! Unakuta kuna pande zilikuwa zinashughulikiana na kwa nyakati hizo yumkini sababu zilikuwepo na waliokuwa nyuma ya Musiba wapo.

Membe pia anajua kila kitu ndio maana pamoja na connection zake za ndani lakini bado akatumia mahakama! Msifikiri Jasusi kama Membe anaweza kuwa vitani na Musiba! Membe anashughulikiana na wanaofahamiana vyema.

Huko ndani CCM wanajua picha yote sisi huku nje tunashabikia tu. Acha tuwe wapenzi watazamaji tutaona hii sinema itavyoisha.
Ulisema kweli
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
sisi tusiofungamana na upande wowote tunaona raha sana sukuma gang mnavyoparurana na timu msoga. uwaneni tu maana wote nyinyi ni walewale. mpo madarakani kulinda interest zenu.

tunasubiri tuone vile timu msoga watamdondosha nani huko sukuma gang ili kulipiza kifo cha mwenzao membe(if it's true from what i hear about his death).


yaaani raha mpaka basi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao Sukuma Gang wana nguvu kuliko Mahakama? Unajua miimili ya Serikali inavyofanya Kazi? Membe amekuwa Mtumishi wa Serikali na Jasusi kwa miaka zaidi ya 20.

Kuna nani wa kumtumia vitisho mtu ambae ana uhasili wa Kijeshi Kiitelijinsia na Combat Experience?

Hao Sukuma Gang unaowasema wana nini ambacho Serikali ya Tanzania iliyopo madarakani inashindwa kufanya inachotaka??Unaijua Nguvu ya Serikali iliyopo Madarakani katika nchi yeyote?? Kakojoe ukalale narudia tena. YONO anafanya Kazi na TRA baada ya MAJEMBE AUCTION kama Dalali wa Wakepa Kodi !

Haiingii akilini unaposema eti Leseni yake imefungiwa for 6 months akichunguzwa kama analipa kodi[emoji23][emoji23]. Sharti la Kwanza Uwezi fanya Kazi yeyote na TRA ata kama ya kufagia Vyoo vyao bila kuwathibitishia kama wewe ni mlipa kodi mzuri.
Mashavu yamekushuka.

Jifunzeni kuacha ujuaji.
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Wewe mtu huwa sikubezi andiko lako!!

HUWA nasoma HADI nukta !!
 
Back
Top Bottom