Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.
Mihimili yote iko sawa kwa juu ila mmoja umechimbiwa chini zaidi "Magufuli"
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Hali ni ngumu kwa Musiba by the way, mkuu wa genge la musiba hawezi kumzidi Ndugai ambapo sasa yupo huko maporoporoni, Serikali na dola ni kitu chengine tulia uone kama musiba anatoa hela ama hatoi, sasa kama yeye ana genge mbona aligaragara sana kumuangukia amsamhehe
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Dah,not unexpected,Musiba alitumwa na ofisi (si Sukuma Gang),kufanya aliyofanya,kwa hiyo ilibidi ofisi isimame upande wake.Nilidhani TISS ya Samia itambwaga mtu wao,dah,wako nae sambamba.

Camilius wewe upo nje ya mfumo,nyamaza na wewe usije ukawekewa mizengwe ukanyang'anywa kila ulichonacho.Soma alama za nyakati.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Mkuu unajua ninakuamini na unajua kwamba najua.

Sasa hii taarifa imeustua sana umma wa wapenda haki.

Hebu fukua fukua huko tupate updates zaidi.

Je mshika rimoti amekwama safari hii?
 
Musiba alikuwa ni pro Burigi,so nadhani unafanya utani tu. Hayupo mwenye nguvu wa kuioindua Hadi mahakama ili kumsapoti bwana huyo aliyewasema Hadi wastaafu
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe​

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba​

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Kwani Tanzania nzima dalali ni Yono tu?
 
Uko wapi mnada wa Mali za Ta Musiba?

Yu wapi Jasusi Membe?

Ni mbwembwe tu hakuna kitu chochote kinaendelea hapo,ni wajinga mlidanganywa kifara fara Musiba nipo nae anakula konyagi hapa.
Majasusi ni weu kabisa wanapotosha umma.
 
Uko wapi mnada wa Mali za Ta Musiba?

Yu wapi Jasusi Membe?

Ni mbwembwe tu hakuna kitu chochote kinaendelea hapo,ni wajinga mlidanganywa kifara fara Musiba nipo nae anakula konyagi hapa.
Majasusi ni weu kabisa wanapotosha umma.
Unakesha ukisali kwamba Simba wa Rondo, Membe amsamehe Musiba. Umebugi....Musiba jino limevunjikia.
 
Back
Top Bottom