Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Nina imani Membe sio mtu anayeweza ludhalilishwa hivyo na Musiba na akamuacha kimya kimya.

Tutamshangaa sana.
 
Japo sitetei aliyokuwa anayafanya Musiba ila b9 wametumia hesabu zipi yaani maneno tu mtu adai b9 😄
Ni hivi:
1. Umeomba mkopo wa bilioni 2 kuendeleza hoteli zako. Benki imekubali kukukopesha kwa masharti nafuu. Siku chache mtu anawapelekea clip ya Musiba akikutuhumu kwa kila aina ya uovu hadharani. Si mara moja bali mara kadhaa. Kitakachofuata ni mkopo kuyayuka au kuwekewa masharti ambayo hayalipi.
2. Umeomba kazi katika shirika la kimataifa ambayo utalipwa dola 240000 ( Sh. 480 milioni) kwa mwaka. Ghafla Musiba huyo na ofa inaondolewa.
3. Ulikuwa unakaribishwa katika makongamano ya kimataifa kuzungumzia utawala bora n.k. Mara Musiba huyo. Mialiko inayeyuka.
4. Unadaiwa na benki mabilioni. Ulikuwa mlipaji mzuri lakini hali ya biashara imekuwa ngumu. Umeongea na benki na wamekuelewa na wamesema watakuongezea muda wa kulipa. Ghafla Musiba huyo akikuita tapeli uliyekubuhu hadharani. Benki wanabadilika na kukuambia hamna cha nyongeza ya muda wala nini. Lipa deni au watakamata mali zako.
Kuharibiwa jina kuna madhara makubwa sana. Ni lazima Membe alitoa ushahidi wa hasara alizopata kutokana na maneno ya Musiba ndio maana Mahakama ikaamua hivyo.

Amandla...
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Yono si huyu huyu sijui Kevela au ni mwingine?. Kama ni yeye basi na yeye sio mwepesi kihivo, kama ni kweli ngoja tuone hizo sarakasi zinakuwaje!.

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

What matters ni hukumu ya Mahakama na sio utekelezaji.
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
Mbona sijaona popote ambapo Membe kaingia kwenye anga ?
 
KWA hio sukuma gang wapo juu ya mahakama
JamiiForums-805405886_539x307.jpg
 
Salaam Wakuu,

Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje.

View attachment 2603532
Bernard Membe

Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na Mahakama Kupiga Mnada Mali zote za Musiba Ili Kumlipa Membe Fidia inayohitajika baada ya Musiba kudai hana hela za kulipa.

Sasa wale waliokuwa wanamuunga Mkono Musiba na Uchafu wake waliopo kwenye Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Samia Suluhu, Wamekunjua Makucha. Kigogo mmoja wa juu kwenye Mhimili wa Haki amedaiwa kucheza na kesi hii ili kupindua meza.

Kundi la watu ‘wenye nguvu’ wameingilia kati hukumu hiyo na kuwataka YONO wasithubutu kugusa mali yoyote ya Cyprian Musiba kama wanataka kuendelea na Udalali Tanzania. So Wachague moja, kuacha kufanya hiyo kazi au wafutiwe leseni Mazima.

View attachment 2603535
Cyprian Musiba

Kwanza hapa tunapoongea, inadaiwa YONO ameshanyang'anywa Leseni yake ya kazi. YONO kakaliwa Kooni anakaguliwa kila kazi alowahi kufanya na kila aina ya Figisu anafanyiwa

Hawa Watendaji wa Serikali ambao nasikia Wanajiita Sukuma Gang, wamemuhakikishia Musiba hakuna baya litamkuta just atulie tu.

Sasa Membe anahaha jinsi ya kukusanya Mabilioni yake kwa sababu aliyepewa kazi ya kukusanya hayo Mabilioni kanyang'anywa Leseni ili ifanyiwe ukaguzi kwa miezi 6.

Baada ya Miezi Sita, Membe atakuta kuna chochote kinamilikiwa na Musiba?

Hapo ndo nimegundua Musiba hayupo peke yake. Kuna kikundi kikubwa cha Watu nyuma yake kikiongozwa na kigogo huyo wa Mhimili wa kutoa Haki.

Je, hawa watu wenye uwezo wa kuingilia Mahakama na Mahakama ikaufyata, watashindwa nini kumchezea figisu Samia ili asigombee 2025?

Hii imetoa nafasi kwa Samia kujua wale wanaompinga ambao anaambatana nao.

Musiba ni Mmiliki wa magazeti yanayotuhumiwa kuchafua watu ya Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania perspective. Magazeti siku nyingi yanalalamikiwa kwa kuandika habari kinyume na maadili ya uandishi.

Pia soma: Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

2. Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

3. Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua
unajifurahisha tu mali zote zimeuzwa

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
 
Uko wapi mnada wa Mali za Ta Musiba?

Yu wapi Jasusi Membe?

Ni mbwembwe tu hakuna kitu chochote kinaendelea hapo,ni wajinga mlidanganywa kifara fara Musiba nipo nae anakula konyagi hapa.
Majasusi ni weu kabisa wanapotosha umma.
Elewa mnada hafanyi membe, ni mahakama ndio inafanya. Na ni baada ya siku kumi na nne za kazi ukiondoa weekend na sikukuu.
 
Wengi wanaota vitu vya ajabu, na wengine mpaka huwa wanatembea, kumbe wapo usingizini. Lakini huyu wa leao amevunja rekodi, skiwa usingizini mpaka snakuwa na uwezo wa kuandika.

Tumwombe akiamka afute huu uzi wake wa usingizini. Walio karibu naye wamshauri afike hospitali. Ndoto za hivi zinaweza baadaye zikageuka kuwa ukichaa.

Mlio wazima mpuuzeni huyu muotandota. Leseni za biashara huwa hazifutwi wala kunyang'anywa kama chungwa. Hata ukifanya kosa au kuhisiwa umefanya kosa, unaandikiwa barua kujibu tuhuma. Baada ya kujibu, hata kama maelezo yako hayakukubaliwa, utapewa muda wa kurekebisha hayo makosa au kulipa kodi kama unadaiwa. Kipindi kifupi kabisa unachoweza kupewa ni mwezi mmoja. Lakini unaweza kupewa hata mwaka mzima kama.mamlaka zitajiridhisha kuwa kuna sababu ya kufanya hivyo.

Kwa hiyo hii ndoto ya huyu mwenzetu ipuuzeni kama mnavyopuuza umbea mbalimbali.
Pole sana huna ulijualo kuhusu siasa za Tanzania . Endelea kupambania Ugali mwaya.
 
Wengi wanaota vitu vya ajabu, na wengine mpaka huwa wanatembea, kumbe wapo usingizini. Lakini huyu wa leao amevunja rekodi, skiwa usingizini mpaka snakuwa na uwezo wa kuandika.

Tumwombe akiamka afute huu uzi wake wa usingizini. Walio karibu naye wamshauri afike hospitali. Ndoto za hivi zinaweza baadaye zikageuka kuwa ukichaa.

Mlio wazima mpuuzeni huyu muotandota. Leseni za biashara huwa hazifutwi wala kunyang'anywa kama chungwa. Hata ukifanya kosa au kuhisiwa umefanya kosa, unaandikiwa barua kujibu tuhuma. Baada ya kujibu, hata kama maelezo yako hayakukubaliwa, utapewa muda wa kurekebisha hayo makosa au kulipa kodi kama unadaiwa. Kipindi kifupi kabisa unachoweza kupewa ni mwezi mmoja. Lakini unaweza kupewa hata mwaka mzima kama.mamlaka zitajiridhisha kuwa kuna sababu ya kufanya hivyo.

Kwa hiyo hii ndoto ya huyu mwenzetu ipuuzeni kama mnavyopuuza umbea mbalimbali.
IMG-20230502-WA0012.jpg
IMG-20230502-WA0013.jpg
IMG-20230502-WA0014.jpg
IMG-20230502-WA0015.jpg
IMG-20230502-WA0016.jpg
 
Back
Top Bottom