Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

Shkamoo Jasusi.

Nimeelewa hapo kwenye "ONE TWO MICROPHONE CHECK".

Leo ni tarehe 12 (ONE TWO). Ahsante sana.

Lakini hapo kwenye "MICROPHONE CHECK" sijaelewa vizuri Kaka Jasusi.

Hii ni aina ya NOTIFICATION ama?

MICROPHONE CHECK?

ONE TWO MICROPHONE CHECK?

TAREHE 12 ANGALIA SIMU MTU KADEDISHWA. [emoji50]
microphone check=kupitia mdomoni, si bunduki wala sindano; utajiongeza mwenyewe kuelewa kama ipo.
But if so, na sidhan kama msiba mwenyewe kalitaka hili, mana hapa mtoa msamaha kazibwa mdomo.
Namaliza; microphone check sauti haitoki, Musiba hapa ndio atalia zaidi, mana walipa visasi wamehakikisha hakuna msamaha, Hawa sio akina sukuma gang mana tayari kwishnea.
Agiza pop con picha ndio linaanza.
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Jamaaa sometime unakuwa na taarifa nyeti sometimes dishi linayumba.

Okay
1,2 musiba umegeuka msiba mtu chaliii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
itabidi turudi kwenye archive tutazame upya zile clip za mwisho mwisho alizokuwa anahojiwa na waandishi wa habari....tupime umbali wa yeye na microphone.

ila yote kwa yote, mpaka half time, timu msoga 1 - 1 sukuma gang. tusubiri second half.

jamani raha si raha?....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu wa kuitwa MICROPHONE nahisi ni MEMBE.

Yaani hapa ni kwamba, KIPAZA SAUTI kinadedishwa Tarehe 12.

Lakini ni nani aliye nyuma ya KIPAZA SAUTI [emoji4][emoji1]

Ama, MICROPHONE maana yake TAARIFA YA HABARI.

Tarehe 12 TAZAMA TAARIFA YA HABARI mtu kalambishwa mchanga [emoji12][emoji16]
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Ila JF ni mtandao mzito sana...

Ingekuwa ni FB wewe saizi unatafutwa mpaka huko Nanjilinji ulipo kwa hii comment yako maana One Two microphone check imefanya kazi
 
itabidi turudi kwenye archive tutazame upya zile clip za mwisho mwisho alizokuwa anahojiwa na waandishi wa habari....tupime umbali wa yeye na microphone.

ila yote kwa yote, mpaka half time, timu msoga 1 - 1 sukuma gang. tusubiri second half.

jamani raha si raha?....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rahaaaaaa, afu mabao yote yamefungwa kwa free kick. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sikiliza MAJASUSI weweee wacha ubishi [emoji12]

MAJASUSI akina TumainiEl walishaweka saini ya kuondoshwa kwa JASUSI MBOBEZI MEMBE, wewe ni nani wa kupinga?

Ugua pole.

Nimekuwa JF kwa zaidi ya miaka 13, sijawahi kuona mtu hatari zaidi ya TumainiEl , miaka ya nyuma aliwahi kutabiri utawala wa Rais mwanamke kabla ya 2015.

Tena alisema huyo Rais itakuwa ni temporary tu, yupo mtu ameandaliwa na mtandao fulani. Dah yani acheni tu hii JF hapana kabsa
 
Nimekuwa JF kwa zaidi ya miaka 13, sijawahi kuona mtu hatari zaidi ya TumainiEl , miaka ya nyuma aliwahi kutabiri utawala wa Rais mwanamke kabla ya 2015.

Tena alisema huyo Rais itakuwa ni temporary tu, yupo mtu ameandaliwa na mtandao fulani. Dah yani acheni tu hii JF hapana kabsa
Halafu yeye Huwa anasema AMEOTA kama Pashal Mayala tu ,Mzee wa VOICE WITHIN
 
Nimekuwa JF kwa zaidi ya miaka 13, sijawahi kuona mtu hatari zaidi ya TumainiEl , miaka ya nyuma aliwahi kutabiri utawala wa Rais mwanamke kabla ya 2015.

Tena alisema huyo Rais itakuwa ni temporary tu, yupo mtu ameandaliwa na mtandao fulani. Dah yani acheni tu hii JF hapana kabsa
Mutu y kitambo JF lakini na Post hata buku teni hazifiki huoni ni wakumpa nafasi yake!
 
Haya mambo sivyo kama yalivyo kwenye media platforms
img_die%20once.jpg
 
Nilisema Nini? Haya tulieni muone picha hii Kali ya intelligence ya Tz. Kiufupi kifo cha Magufuli sio ushindi ila nikilio kikubwa kwa waliodhani kwa kufa kwake watafanya vile wanataka kufanya Yani kunawatu watalilia chooni na familia zao. Kuna watu 2025 watakimbia hata nchi ilawatakuta passport ziko freeze. Nani alikwambia kifo cha Rais nichakufanyia sherehe? Kiufupi Tetesi zina sema hata namba moja Kuna mambo Alisha ambiwa awaachie wana usalama na kama anataka kuona cheusi na cheupe basi aingilie wana idara kama hajaona usiku kuwa mchana na mchana kuww usiku. Thanks God namba moja ameamua kupambana na vitu vyake na usalama anakaa pembeni na kushauriwa. Picha nikali sijapata kuona ila kiufupi mwisho wa yote one two microphone check msishange mtu Chali ndio mtajuwa musiba ni msiba. End
Mmmh
 
Back
Top Bottom