passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Kazikwe nayu huyo Membe na Kwa laana ya kumcheka Magufuli huu ndo mwanzo Tu.Shujaa ndio alikufa kwa laana. Member kamkosea Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazikwe nayu huyo Membe na Kwa laana ya kumcheka Magufuli huu ndo mwanzo Tu.Shujaa ndio alikufa kwa laana. Member kamkosea Nani?
TrueBinadamu kujisahau kuwa wote ni wa ardhini ndo kunakotuponza.Leo wafurahia huyu au yule kufa then unaenda kulala huamki au wagongwa na baiskeli....wabondwa jiwe kwa bahati mbaya maisha huna.Usimlaumu MTU tatizo ni kujisahau.....
Wema hafi.Shujaa ndio alikufa kwa laana. Member kamkosea Nani?
Nadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape, ila hakufanya hivyo badala yake akaendelea kumshitaki Musiba ambaye alitumiwa na deep state kuwa expose akina membe na uhaini wao badala ya wao kujua wamejulikana waache walijipa mamlaka na kuendelea na harakati hatimaye wakamuua Dkt Magufuli. Watanzania wanahasira sana tena sana juu ya kifo cha Dkt Magufuli na kebehi na dhihaka toka serikali ya Dkt Samia ya kushangilia na kuonesha wao walihusika kumuua.TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.
Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Sisi tulishalia machozi yalishapungua mkuu. Sitaki kutumia maneno makali yenye kebehi na dhihaka, ila Dkt Magufuli tutamuenzi wewe subiri tu, very soon serikali itarejea kwenye mstari wa uzalendo na tena huyu huyu Dkt Samia mliyedhani ni mwenzenu ila yupo upande wa wazalendo na walinda maliasiri za nchi, atawamaliza choko wote ili nchi yetu iendelee na kila mtanzania afaidi matunda na utajiri wa nchiShujaa ndio alikufa kwa laana. Member kamkosea Nani?
Peleka ujinga wako hukoNadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape, ila hakufanya hivyo badala yake akaendelea kumshitaki Musiba ambaye alitumiwa na deep state kuwa expose akina membe na uhaini wao badala ya wao kujua wamejulikana waache walijipa mamlaka na kuendelea na harakati hatimaye wakamuua Dkt Magufuli. Watanzania wanahasira sana tena sana juu ya kifo cha Dkt Magufuli na kebehi na dhihaka toka serikali ya Dkt Samia ya kushangilia na kuonesha wao walihusika kumuua.
Alikufuru. Kumbe ilikuwa ni suala la muda. Walau mwenzie hata aliwaita viongozi wa dini..yeye hata wanawe kashindwa kuwaaga achilia mbali viongozi wa dini.Chuki tu eti kisa baada ya yeye kusikia Msiba wa ankari Magu alifanya sherehe na kula kuku na pilau badala ya kuomboleza km wengine walivyofanya, hio nimepewa na imevujishwa kutoka huko ndani ndani na TumainiEl aliesema hivyo kua Mzee Membe alifanya sherehe ankari Magu alipofariki
Na pua zao zinawakumbusha 24/7Binadamu kujisahau kuwa wote ni wa ardhini ndo kunakotuponza.
labda kama hujui hivyo ndivyo mbaya anavyolipwa na MUNGU. ni ngumu sana kuamini kwamba wapo watu wenye nyazifa kubwa ambao mabaya yao huwa yanazibwa na pazia la uovu.TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.
Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Kwann iwe ni membe tu ndie ambae angetakiwa kumkemea mheshimiwa kwa kauli ambayo ametoa na si mwingineNadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape,
Nadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape, ila hakufanya hivyo badala yake akaendelea kumshitaki Musiba ambaye alitumiwa na deep state kuwa expose akina membe na uhaini wao badala ya wao kujua wamejulikana waache walijipa mamlaka na kuendelea na harakati hatimaye wakamuua Dkt Magufuli. Watanzania wanahasira sana tena sana juu ya kifo cha Dkt Magufuli na kebehi na dhihaka toka serikali ya Dkt Samia ya kushangilia na kuonesha wao walihusika kumuua.
Kwani huyu sio yeyeNamkubali sana
Wivu kwa nafasi alizoshika.....TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.
Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
[emoji2956]Ni utamaduni wetu kwa jamii zetu hizi mtu akifariki hata kama alikuwa jambazi, mwizi, malaya (jinsia zote) tapeli na muuaji eti bado tunatakiwa kusema mazuri yake tu kama vile mtendaji (Marehemu) alikuwa anafanya kwa bahati mbaya matendo yake ya kuumiza wengine
Sina lengo kumtetea Marehemu Membe ila kama kuna mtu yoyote alihisi hakuwa na uhusiano nae mwema kipindi cha uhai wake na alionyesha hisia zake sioni Kama ni tatizo hapo
Jamii yetu imejengwa kwa misingi ya unafiki na kujipendekeza pendekeza
NMB tena?Kwani huyu sio yeye
Kazikwe naye.Namkubali sana