Bernard Membe amewakosea nini watanzania? hadi iwe hivi?

Bernard Membe amewakosea nini watanzania? hadi iwe hivi?

Hali gani watu wameshugulishwa na maisha!! Unafikiri membe au magufuli watakuletea ugali nyumbani?
 
TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.

Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Nadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape, ila hakufanya hivyo badala yake akaendelea kumshitaki Musiba ambaye alitumiwa na deep state kuwa expose akina membe na uhaini wao badala ya wao kujua wamejulikana waache walijipa mamlaka na kuendelea na harakati hatimaye wakamuua Dkt Magufuli. Watanzania wanahasira sana tena sana juu ya kifo cha Dkt Magufuli na kebehi na dhihaka toka serikali ya Dkt Samia ya kushangilia na kuonesha wao walihusika kumuua.
 
Shujaa ndio alikufa kwa laana. Member kamkosea Nani?
Sisi tulishalia machozi yalishapungua mkuu. Sitaki kutumia maneno makali yenye kebehi na dhihaka, ila Dkt Magufuli tutamuenzi wewe subiri tu, very soon serikali itarejea kwenye mstari wa uzalendo na tena huyu huyu Dkt Samia mliyedhani ni mwenzenu ila yupo upande wa wazalendo na walinda maliasiri za nchi, atawamaliza choko wote ili nchi yetu iendelee na kila mtanzania afaidi matunda na utajiri wa nchi
 
Nadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape, ila hakufanya hivyo badala yake akaendelea kumshitaki Musiba ambaye alitumiwa na deep state kuwa expose akina membe na uhaini wao badala ya wao kujua wamejulikana waache walijipa mamlaka na kuendelea na harakati hatimaye wakamuua Dkt Magufuli. Watanzania wanahasira sana tena sana juu ya kifo cha Dkt Magufuli na kebehi na dhihaka toka serikali ya Dkt Samia ya kushangilia na kuonesha wao walihusika kumuua.
Peleka ujinga wako huko
 
Chuki tu eti kisa baada ya yeye kusikia Msiba wa ankari Magu alifanya sherehe na kula kuku na pilau badala ya kuomboleza km wengine walivyofanya, hio nimepewa na imevujishwa kutoka huko ndani ndani na TumainiEl aliesema hivyo kua Mzee Membe alifanya sherehe ankari Magu alipofariki
Alikufuru. Kumbe ilikuwa ni suala la muda. Walau mwenzie hata aliwaita viongozi wa dini..yeye hata wanawe kashindwa kuwaaga achilia mbali viongozi wa dini.
 
Ngoja nikusaidie kujibu Kama ifuatavyo

Alisema hivi "Kuna watu Ni wagonjwa" Ni raia wa kigeni" hayo mengine simalizi...

Mtanzania mwenzio unakana uraia wake kweli Ni haki??? Au yeye alizaliwa chini ya mti???
 
TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.

Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
labda kama hujui hivyo ndivyo mbaya anavyolipwa na MUNGU. ni ngumu sana kuamini kwamba wapo watu wenye nyazifa kubwa ambao mabaya yao huwa yanazibwa na pazia la uovu.

hata kama atatoka mtu ambaye anamfaham vizur membe akaja kutaja mabaya yake kuna watu watamuona mpuuzi tu, kwasababu sisi watanzania tulizaliwa wajinga. alichokifanya wakati wenzake wanatangulia mbele za haki ndicho kinachomrudia.

mkuu tulia utaona mengi sana!
 
Nadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape,
Kwann iwe ni membe tu ndie ambae angetakiwa kumkemea mheshimiwa kwa kauli ambayo ametoa na si mwingine
 
Nadhani ni kushindwa kutambua nafasi yake katika taifa. Alitumia mbinu nyingi kumuua Dkt Magufuli na alipofanikiwa alifanya sherehe. Na kauli ya Nape y Bahati imetulia na mara Mungu kaamua ugomvi ilidhihirisha kabisa Membe alihusika na kifo cha Dkt Magufuli. Angekuwa hajashiriki alipaswa kumkemea Nape, ila hakufanya hivyo badala yake akaendelea kumshitaki Musiba ambaye alitumiwa na deep state kuwa expose akina membe na uhaini wao badala ya wao kujua wamejulikana waache walijipa mamlaka na kuendelea na harakati hatimaye wakamuua Dkt Magufuli. Watanzania wanahasira sana tena sana juu ya kifo cha Dkt Magufuli na kebehi na dhihaka toka serikali ya Dkt Samia ya kushangilia na kuonesha wao walihusika kumuua.

unajua kuongea tukipata watu kumi jf kama wewe nitamaliza bando
loote jf kukusoma point zako umenena maneno ya hekima, nawaomba wanafunzi na wafuasi wa chadema muondoke jf mnatuharibia mda
 
TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.

Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Wivu kwa nafasi alizoshika.....
 
Ni utamaduni wetu kwa jamii zetu hizi mtu akifariki hata kama alikuwa jambazi, mwizi, malaya (jinsia zote) tapeli na muuaji eti bado tunatakiwa kusema mazuri yake tu kama vile mtendaji (Marehemu) alikuwa anafanya kwa bahati mbaya matendo yake ya kuumiza wengine

Sina lengo kumtetea Marehemu Membe ila kama kuna mtu yoyote alihisi hakuwa na uhusiano nae mwema kipindi cha uhai wake na alionyesha hisia zake sioni Kama ni tatizo hapo

Jamii yetu imejengwa kwa misingi ya unafiki na kujipendekeza pendekeza
[emoji2956]
 
Siwezi shangilia kifo cha adui yangu angali sote ni watarajiwa..

Membe na JPM hawakufa wakiwa vijana,
Ambapo nyakati hizi vijana wanakufa kuliko hata wazee.

Ukijiuliza huyo Magu na Membe Wana kitu gani cha kupoteza?
Hakuna,ujana wameshaula ukaisha,bata wamekula kuliko kawaida,wameshika nyadhifa za juu kuliko tunaowachukia...
Maisha yako ni kuungaunga then unabeba chuki kwenye kifua chako kwa mtu ambaye ana mafanikio kukuzidi,ni ujinga, mbaya zaidi hata akupata kukujua na wala asingekujua.

Tunza afya,tafuta pesa acha ujinga.
Kila kifo ni alarm [emoji354] ya kutukumbusha zamu yetu iko karibu.
 
Back
Top Bottom